-
Iraq: Tuna hamu ya kushirikiana na Iran kuimarisha utulivu wa kieneo
Apr 11, 2025 22:50Rais wa Iraq, Abdul Latif Rashid ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kufanya kazi na kushirikiana na Iran ili kuhakikisha kuwa eneo hili la Asia Magharibi linakuwa na utulivu na usalama.
-
Iran imevuka 'mistari myekundu' ya Magharibi katika teknolojia ya nyuklia
Apr 11, 2025 22:49Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI), Mohammad Eslami, amesisitiza uwezo wa ndani wa Iran katika sayansi ya nyuklia, akieleza kuwa mataifa ya Magharibi yameshindwa kuinyima Jamhuri ya Kiislamu teknolojia hiyo.
-
Ayatullah Seddiqi: Marekani haina hadhi ya kuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na Iran
Apr 11, 2025 07:28Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema kuwa, madai ya rais wa Marekani ya kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Iran ni ya uongo na ya hadaa zake za kawaida na kwamba Marekani haina hadhi ya kuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na Iran.
-
Iran kwa mara nyingine yatilia mkazo wajibu wa kukomeshwa mara moja jinai Ghaza
Apr 11, 2025 07:27Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema kuwa, kuna wajibu wa kuongezwa juhudi za kidiplomasia za kuhakikisha utawala wa Kizayuni unakomesha jinai zake kwenye Ukanda wa Ghaza.
-
Baghaei: Mazungumzo ya Jumamosi yatakuwa kipimo cha nia ya Marekani
Apr 11, 2025 07:26Kwa mara nyingine tena, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani huko Muscat, mji mkuu wa Oman, ni mtihani wa kupima nia na ukweli wa madai ya Marekani.
-
Jenerali Qa'ani: Marekani, Israel 'ni dhaifu kivitendo' mbele ya Iran na Muqawama
Apr 11, 2025 04:12Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kislamu nchini Iran amesema kuwa licha ya bwabwaja zao, Marekani na Israel "hazina nguvu kivitendo" dhidi ya Iran na makundi ya Muqawama.
-
Mshauri wa Kiongozi Muadhamu atahadharisha kuhusu 'hatua za kujihami' za Iran dhidi ya IAEA
Apr 11, 2025 04:11Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kwamba vitisho dhidi ya Iran vinaweza kusababisha kusimamishwa ushirikiano wa Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na kufukuzwa wakaguzi wake hapa nchini.
-
Kamanda wa Jeshi la Wanamaji: Uwezo wa kijeshi wa Iran uko juu sana
Apr 10, 2025 22:37Kamanda Mkuu wa Jeshi la Wanamaji la Iran, Admeli Shahram Irani amesema uwezo na nguvu za Jeshi la Iran zimefikia viwango vya juu ambavyo havijawahi kushuhudiwa.
-
Araqchi: Uhusiano wa Iran na Algeria uko imara, ni wa kihistoria
Apr 10, 2025 08:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Algeria ni nchi kubwa na yenye taathira katika Ulimwengu wa Kiislamu na kwamba uhusiano kati ya nchi hiyo na Iran ni mkubwa, imara na wa siku nyingi.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wasisitiza ulazima wa kukomesha jinai Israel Gaza
Apr 10, 2025 04:24Iran imetoa wito kwa nchi za eneo kushirikiana kuchukua hatua za haraka kukomesha uhalifu wa utawala wa Israel na kufufua makubaliano ya usitishaji mapigano katika Ukanda wa Gaza.