-
Vitabu milioni 1.4 vimeuzwa katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu Tehran
May 20, 2025 02:54Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Vitabu Tehran ambayo yalimalizika Jumamosi jioni, yalivutia zaidi ya wageni milioni sita katika kipindi cha siku 11 za maonyesho.
-
Sababu ya Iran kutolegeza msimamo kuhusu haki yake ya kurutubisha madini ya urani
May 20, 2025 00:19Ikiwa ni katika kujibu matamshi ya Steve Whitkoff, mkuu wa timu ya mazungumzo ya Marekani, Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: "Kufikiwa makubaliano kunawezekana na tuko tayari kuingia katika mazungumzo mazito. Kwa vyovyote vile, urutubishaji nchini Iran utaendelea tu, makubaliano yafikiwe au la."
-
Iran: Vikwazo vya Marekani ni ishara ya uhasama, diplomasia yao si ya kweli
May 19, 2025 08:41Iran imelaani vikali msururu wa vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani, ikivitaja kama vitendo vya uadui dhidi ya watu wa Iran na ushahidi kuwa madai ya Marekani kuhusu kutafuta suluhisho la kidiplomasia ni ya kinafiki.
-
Jukwaa la Mazungumzo la Tehran lataka eneo lisilo na silaha za nyuklia Asia ya Magharibi
May 19, 2025 08:17Jukwaa la Mazungumzo la Tehran (TDF) limetilia mkazo umuhimu mkubwa wa kuanzishwa kwa eneo huru lisilo na silaha za nyuklia katika eneo la Asia ya Magharibi.
-
"Makubaliano na US yanaweza kufikiwa Washington ikiacha mashinikizo"
May 19, 2025 03:56Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema mlango wa kufikia makubaliano na Marekani upo wazi iwapo Washington itaachana na tabia yake ya uonevu na sera zake za mashinikizo na kuiburuza Tehran katika mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Araghchi: Muda wa mazungumzo kati ya Iran na Marekani umeshajulikana
May 18, 2025 23:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kwamba wakati wa duru mpya ya mazungumzo kati ya Iran na Marekani umeshabainishwa.
-
Pezeshkian: Hatutaacha mpango wetu wa amani wa nyuklia chini ya shinikizo lolote
May 18, 2025 08:40Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Tehran kamwe haitaachana na mpango wake wa amani wa nyuklia.
-
Umuhimu wa Mkutano wa Kimataifa wa Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran
May 18, 2025 07:24Mkutano wa Kimataifa wa Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran unafanyika kwa kuwashirikisha takriban wageni 200 kutoka nchi 53 duniani. Mkutano huo umefunguliwa rasmi mapema leo katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri wa Mambo ya Nje, Abbas Araqchi.
-
Zaidi ya Wairani 30,000 wamewasili Saudi Arabia kwa ajili ya Hija
May 18, 2025 05:49Zaidi ya Wairani 30,000 wamewasili nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija ya kila mwaka, huku idadi hiyo ikitazamiwa kuongezeka katika siku zijazo.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan apongeza jitihada za Iran kupunguza mvutano na India
May 18, 2025 05:47Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesifu juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kusaidia kupunguza mvutano kati ya Islamabad na New Delhi kufuatia shambulizi la kigaidi lililotokea mwezi uliopita katika eneo la Kashmir linalosimamiwa na India. Ametilia mkazo umuhimu wa kutafuta suluhu kupitia majadiliano na mikakati ya kisiasa.