-
Iran inafuatilia malengo gani katika kupanua uhusiano na nchi za Afrika?
Mar 13, 2025 22:58Kikao cha kubadilishana mawazo cha Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Iran na Afrika kimefanyika mjini Tehran, kwa uratibu wa Shirika la Maendeleo ya Biashara, kikihudhuriwa na mabalozi na wawakilishi wa nchi za Afrika.
-
Masharti ya Iran kwa ajili ya kufanya mazungumzo na nchi za Magharibi
Mar 13, 2025 07:17Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena imekataa mazungumzo yoyote ya kulazimishwa na kusisitiza kuwa haitafanya mazungumzo kwa shinikizo na vitisho.
-
Muirani afutwa kazi Marekani kwa kuwa AI imesema anaunga mkono Palestina
Mar 13, 2025 06:58Chuo Kikuu cha Yale cha nchini Marekani kimemsimamisha kazi mhadhiri wa Kiirani kwa tuhuma zilizotegemea ripoti ya Akili Mnemba (Artificial Inteligence) ambayo imesema kuwa msomi huyo Muirani analiunga mkono taifa madhlumu la Palesitna hasa kutokana na kukosoa vikali mauaji ya kimbari yaliyofanywa na Israeli wakati wa vita vya Ghaza.
-
Iran: Kumetolewa wazo jipya la kutatua masuala ya nyuklia na IAEA
Mar 13, 2025 06:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametangaza kuwa, Tehran inalichunguza wazo jipya la kutatua masuala ya nyuklia ya Iran kati ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.
-
Madai dhidi ya Iran ya Mjumbe wa Marekani UN kuhusu miradi ya nyuklia ya Tehran
Mar 13, 2025 03:56Katika matamshi yake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mjumbe wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesema: Washington inaendelea kutekeleza kikamilifu sera za mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran.
-
Araqchi: Barua ya Trump imepokewa
Mar 13, 2025 03:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram mazungumzo aliyofanya jana na Mshauri wa masuala ya kidiplomasia wa Rais wa Imarati na kuandika: 'Nimepokea pia barua kutoka kwa Rais wa Marekani.'
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi: Wito wa Trump wa kufanya mazungumzo na Iran ni 'ulaghai' tu
Mar 12, 2025 23:48Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, wito wa Rais Donald Trump wa Marekani kwamba anataka kufanya mazungumzo na Iran si lolote bali ni jaribio la "kuhadaa maoni ya umma duniani" na kutaka kuonyesha kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ni upande ambao hauko tayari kutoa fursa nyingine kwa diplomasia.
-
Iran ni kati ya nchi tatu zinazoongoza duniani katika kupandikiza uboho
Mar 12, 2025 22:53Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni miongoni mwa nchi tatu zinazoongoza duniani kwa upandikizaji wa uboho kutokana na maendeleo makubwa katika nyanja za matibabu.
-
Kamanda Irani: Nchi za kanda zinaweza kujidhaminia usalama
Mar 12, 2025 09:13Kamanda wa Jeshi la Wanamaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa maadui wanapaswa kubadili mtazamo wao kuhusu kanda hii na kusisitiza kuwa nchi za kanda zinaweza kuhakikisha usalama wao wenyewe.
-
Pezeshkian: Bora tufe kwa heshima, lakini hatutaishi kwa udhalili
Mar 12, 2025 03:45Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekosoa vikali mwenendo wa kimaksi wa utawala wa Donald Trump dhidi ya Iran na kueleza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu sio Ukraine, na katu haitafanya mazungumzo na Marekani katika mazingira ya vitisho au kulazimishwa.