-
Iran yagundua na kusambaratisha karakana ya Mossad ya kuunda droni karibu na Tehran
Jun 16, 2025 04:04Maafisa wa usalama wa Iran wamevamia makazi ya ghorofa tatu nje kidogo ya Tehran, ambapo wamegundia kituo cha siri kinachoendeshwa na shirika la kijasusi la Israel, Mossad, kwa ajili ya kuunganisha droni na vilipuzi.
-
Mazungumzo ya simu kati ya Katibu Mkuu wa OIC na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Jun 16, 2025 03:56Hussein Ibrahim Taha, Katibu Mkuu wa Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), katika mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.
-
Je, kwa nini Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halikulaani Israel?
Jun 16, 2025 03:51Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika kwa ombi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel dhidi ya Iran, kwa mara nyingine tena kimefichua siasa za kundumakuwili za kimataifa na mapungufu makubwa yaliyoko katika muundo wa Baraza la Usalama.
-
Wimbi jipya la makombora ya Iran lawawafanya walowezi wa Kizayuni kurudi tena mashimoni
Jun 15, 2025 23:47Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limefanya wimbi jipya la mashambulio ya makombora yakiwa ni mashambulizi ya nane tangu Ijumaa - dhidi ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni ikiwa ni sehemu ya "Operesheni ya Ahadi ya Kweli III."
-
Uchokozi wa Israel: Rais wa Iran aitaka Iraq kulinda mipaka na anga yake
Jun 15, 2025 23:46Rais Masoud Pezeshkian amesema vitendo vya uchokozi vya Israel dhidi ya ardhi ya Iran vikipitia anga ya Iraq ni dhihirisho wazi la utawala huo kutojali sheria za kimataifa.
-
Iran yawakamata magaidi wa Mossad kaskazini magharibi mwa nchi
Jun 15, 2025 23:46Vikosi vya usalama vya Iran vimewakamata magaidi wawili wa shirika la ujasusi la Mossad la utawala haramu wa Israel kaskazini magharibi mwa Iran.
-
Waziri wa Afya wa Iran: Mashambulizi ya Israel yanalenga raia, hasa wanawake na watoto
Jun 15, 2025 23:45Waziri wa Afya wa Iran, Dakta Mohammadreza Zafarghandi, amesema kuwa wengi wa waathirika wa mashambulizi ya Israel nchini Iran katika siku za hivi karibuni ni raia, ikiwemo idadi kubwa ya wanawake na watoto.
-
Yajue makombora ya 'Emad', 'Ghadr', na 'Kheibar Shekan' yanayotumiwa na Iran dhidi ya Israel
Jun 15, 2025 23:43Kulingana na taarifa za vyombo vya habari vya Iran, kitengo cha anga za juu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kilitumia mifumo mbalimbali ya kisasa ya makombora wakati hujuma ya ulipizaji kisasi dhidi ya Israel iliyopewa jina 'Operesheni Ahadi ya Kweli III' Jumamosi.
-
Rais Pezeshkian: Jinai za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni ni ushahidi wa uadui wake
Jun 15, 2025 09:04Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, jinai za hivi karibuni za jeshi la Kizayuni ni ushahidi wa uchokozi na upuuzaji wake wa maisha ya binadamu.
-
Mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Iran dhidi ya Israel, mwisho wa zama za "kushambulia na kukimbia" kwa Israel.
Jun 15, 2025 08:45Baada ya utawala wa Kizayuni kuishambulia Iran kwa ushirikiano wa Washington asubuhi ya Ijumaa, Juni 13, na kupelekea kuuawa shahidi idadi kubwa ya makamanda waandamizi wa kijeshi na wanasayansi, pamoja na raia wa kawaida, Iran, kama ilivyoahidi awali, ilianza kutoa jibu kali kwa jinai hiyo na mauaji ya kimbari Ijumaa usiku kupitia operesheni ya mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani, iliyopewa jina la Ali ibn Abi Talib.