-
Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika
Mar 01, 2025 23:03Mshauri na Mjumbe Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na Ethiopia na nchi za Kiafrika kwa ujumla.
-
Jeshi la Wanamaji la IRGC: Tutatoa jibu kali kwa tishio lolote
Mar 01, 2025 09:27Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kikosi hiki, kinategemea uwezo wa kielimu wa wataalamu wa ndani, na leo hii kina uwezo wa kutoa jibu madhubuti na kali kwa tishio lolote."
-
IRGC yasisitiza: Operesheni ya Ahadi ya Kweli 3 itatekelezwa kwa wakati uliopangwa
Mar 01, 2025 03:46Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC ametangaza kuwa, awamu ya tatu ya Operesheni ya "Ahadi ya Kweli" itatekelezwa katika wakati uliopangwa, kufuatia utekelezaji uliofanikiwa wa awamu yake ya kwanza na ya pili.
-
Tehran yajibu matamshi ya Uturuki dhidi ya Iran
Mar 01, 2025 03:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan dhidi ya sera za kieneo za Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, nchi hii haibadilishi sera zake kila siku.
-
Ayatullah Seddiqi: Chuki dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni imeenea duniani kote
Feb 28, 2025 11:26Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, adui wa Israel sio kambi ya Muqawama tu na kuongeza kuwa, mauaji ya wanawake na watoto huko Gaza na makamanda wa Muqawama yamesababisha kusambaa duniani kote chuki dhidi ya utawala wa Kizayuni na Marekani.
-
IRGC yapokea manowari ya kisasa iliyoundwa na wataalamu wa Iran
Feb 27, 2025 23:15Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimepokea zana na vifaa mbalimbali vya kijeshi vilivyoundwa na kutengenezwa hapa nchini Iran, ikiwemo meli ya kivita ya Shahidi Rais Ali Delvari na makumi ya meli za mashambulizi ya haraka zenye mifumo ya kurusha makombora.
-
Iran na Malaysia zasisitiza kuimarisha zaidi ushirikiano
Feb 27, 2025 23:14Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Malaysia wamesisitiza azma ya nchi zao ya kuimarisha Zaidi uhusiano na ushirikiano katika mbalimbali.
-
Baqaei: Kuna haja ya kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa Israel nchini Syria
Feb 27, 2025 08:17Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa utawala haramu wa Israel nchini Syria
-
Rais wa Iran ataka kuimarishwa uhusiano wa mataifa ya Waislamu
Feb 27, 2025 07:33Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuimarisha maelewano na uhusiano miongoni mwa nchi za Kiislamu zikiwemo Iran na Malaysia ni miongoni mwa mambo ya lazima katika hali ya sasa ya kimataifa.
-
Iran yasambaratisha mtandao wa magaidi wakufurishaji na kunasa silaha nyingi
Feb 27, 2025 04:34Katika operesheni kubwa ya kupambana na ugaidi, vikosi vya usalama vya Iran vimesambaratisha mtandao mkubwa wa magaidi wakufurishaji na kukamata silaha na mabomu kadhaa katika mkoa wa kusini-mashariki wa Sistan na Baluchestan.