-
Msikiti wa Mosalla Tehran kupanuliwa kuwa msikiti mkubwa zaidi duniani
Feb 27, 2025 04:27Eneo kubwa la Swala la Tehran maarufu kama Mosalla Imam Khomeini litapanuliwa na kuwa msikiti mkubwa zaidi duniani.
-
Mkuu wa IRGC: Maadui wa Iran bado hawajapata vipigo 'vikali'
Feb 26, 2025 10:07Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amepongeza uwezo wa kiulinzi na kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, maadui wa Iran bado hawajapata vipigo 'vikali' licha ya mashambulizi na operesheni kadhaa za kulipiza kisasi zilizofanywa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
-
Iran yataka kuwepo uadilifu, kuheshimiana na amani ya kimataifa
Feb 26, 2025 03:11Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesisitiza dhamira ya Jamhuri ya Kiislamu ya kuunga mkono ulimwengu wa pande kadhaa, sheria za kimataifa na kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa na kutoa wito wa kuwepo ulimwengu unaozingatia uadilifu, heshima na amani.
-
Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha ushirikiano na Russia
Feb 25, 2025 23:17Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ameahidi kunyanyua kiwango cha uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Russia kwa kuharakisha utekelezaji wa makubaliano ya pande mbili, na kuimarisha maingiliano athirifu katika masuala ya kikanda.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran awaonya maadui kuhusu 'jibu kali'
Feb 25, 2025 22:52Waziri wa Ulinzi wa Iran amesisitiza kuwa vijana wa Jamhuri ya Kiislamu kwa hakika wako tayari kutoa "jibu kali na la kusikitisha" kwa kosa lolote la maadui wao, huku akiwaenzi vijana kujitolea kwao katika kulinda usalama wa taifa.
-
Araghchi: Iran haitafanya mazungumzo na Marekani maadamu mashinikizo yapo
Feb 25, 2025 22:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, katika mkutano wa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, mjini Tehran, amesea hakuna mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani yatakayofanyika maadamu Washington inaendeleza sera sera 'Mashinikizo ya Juu Zaidi' dhidi ya Iran.
-
Spika Qalibaf: Namna Hizbullah ilivyoonyesha nguvu zake imedhihirika kuwa Muqawama hauondosheki
Feb 25, 2025 07:09Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema, kutokana na jinsi Hizbullah ilivyoonyesha nguvu na uwezo wake, imemdhihirikia wazi kila mtu kwamba maadui hawawezi kuuondoa Muqawama au kuuweka kando ya ulingo wa kisiasa na kiusalama wa Lebanon kutokana na uungaji mkono wa wananchi ilionao.
-
Kuendelea kupiga kambi kwa nguvu na satua msafara wa Manowari za Jeshi la Wanamaji la Iran katika maji ya kimataifa
Feb 25, 2025 00:34Admirali Shahram Irani, Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa Msafara wa Manowari Nambari 5 za jeshi hilo umepiga kambi katika eneo la maji ya kimataifa.
-
Araqchi: Silaha za nyuklia za Israel ni tishio na hatari kwa dunia
Feb 24, 2025 23:01Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa jamii ya kimataifa inapasa kuushinikiza utawala wa Israel kujiunga na Mkataba Unaozuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) ili shughuli zake za nyuklia ziwe chini ya usimamizi na ukaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA).
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Sayyed Nasrullah ni kielelezo cha ushujaa na muqawama
Feb 24, 2025 03:45Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Meja Jenerali Aziz Nasirzadeh, amesema kuwa, Katibu Mkuu wa Hizbullah, Shahidi Sayyed Hassan Nasrullah, alionyesha kielelezo cha kuigwa cha ushujaa na imani katika njia ya muqawama ambayo aliifuata.