-
Rais Pezeshkian: Iran itazima njama zote za maadui
Feb 10, 2025 07:57Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anasema Jamhuri ya Kiislamu itafanya juu chini kuzima njama zote zinazopangwa na maadui dhidi ya taifa hili.
-
Iran yataka kufanyika kikao cha dharura cha OIC kujadili kadhia ya Palestina
Feb 10, 2025 11:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumza na kubadilishana mawazo na mwenzake wa Gambia, Mamadou Tangara, ambaye nchi yake ndiye mwenyekiti wa sasa wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), kuhusu matukio ya sasa huko Palestina hususan Ukanda wa Gaza.
-
Maandamano ya Bahman 22 ya kuadhimisha ushindi ya Mapinduzi ya Kiislamu yaanza nchini kote
Feb 10, 2025 04:12Maandamano ya Bahman 22 ya kuadhimisha miaka 46 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yameanza kote nchini Iran ikiwa ni pamoja na katika Jiji kuu la Tehran.
-
Waziri wa Mafuta: Sera ya kusimamisha uuzaji mafuta ya Iran nje ya nchi imefeli na itaendelea kufeli
Feb 09, 2025 23:57Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohsen Paknejad amesema vikwazo havina tija yoyote na akasisitiza kwamba, sera ya kuufanya uuzaji mafuta ya Iran nje ya nchi ufikie kiwango cha sifuri imefeli na itaendelea kufeli.
-
Mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kikanda na duniani
Feb 09, 2025 23:10Leo Iran inaadhimisha miaka 46 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaliyotokea mwaka 1979 chini ya uongozi wa hayati Imam Ruhullah Khomeini. Matokeo na mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran daima yamekuwa na taathira kwa kanda ya Asia Magharibi na dunia kwa ujumla.
-
Iran ina nafasi muhimu katika soko la kimataifa la teknolojia ya nano
Feb 09, 2025 07:11Katibu wa Taasisi ya Tekenolojia ya Nano ya Iran amesema kuwa, Tehran imekuwa na nafasi muhimu katika soko la kimataifa la teknolojia ya nano kwa kusafirisha bidhaa za nano zenye thamani ya zaidi ya dola milioni moja kwa nchi sita zilizoendelea.
-
Pezeshkian: Mataifa ya Kiislamu yaungane kuijenga upya Gaza
Feb 09, 2025 03:44Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuungana na kushirikiana ili kulijenga upya eneo la Ukanda la Gaza ambalo limeharibiwa kikamilifu na mabomu ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran yataka OIC iitishe mkutano wa dharura kuijadili Gaza
Feb 09, 2025 03:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amekosoa vikali mpango wa pamoja wa Marekani na Israel wa kuwahamisha raia wa Gaza, na maangamizi ya kizazi katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Afrika Kusini: Uhusiano wetu na Iran na kuipandisha kizimbani Israel ndiyo sababu ya hasira za Marekani
Feb 08, 2025 22:56Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini imeashiria hatua ya rais wa Marekani, ya kufanya propaganda kubwa dhidi ya nchi hiyo kutokana na uhusiano mzuri wa Afrika Kusini na Iran na hatua ya Pretoria ya kufungua kesi ya kuadhibiwa viongozi watenda jinai wa Israel kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ na kusema kuwa, inasikitisha kuona Marekani inaendesha propaganda chafu dhidi ya Afrika Kusini.
-
Msemaji wa Serikali: Iran kamwe haitoingia kwenye mazungumzo yasiyo na heshima
Feb 08, 2025 22:57Msemaji wa serikali ya Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haitoingia kwenye mazungumzo ambayo yatavunja heshima na itibari yake.