-
Imam Khamenei: Ushindi wa wananchi wa Gaza ulikuwa ushindi dhidi ya Marekani
Feb 08, 2025 10:15Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, ushindi wa wananchi wa Gaza ulikuwa ushindi dhidi ya Marekani.
-
Baqaei: Marekani imezilenga taasisi za kimataifa
Feb 08, 2025 04:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Uraibu wa Marekani wa kutumia sheria nje ya mipaka yake, sasa umezilenga taasisi za kimataifa.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Trump hatafikia malengo yake kuhusiana na Iran
Feb 07, 2025 10:17Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatoa vitisho na kuainisha kikomo cha uwezo wa nyuklia wa Iran na ushawishi wake katika eneo lakini anakosea na hatofikia malengo yake.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Kufanya mazungumzo na Marekani si jambo la werevu, mantiki, wala heshima
Feb 07, 2025 07:17Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika mkutano na makamanda na wafanyakazi wa Kikosi cha Anga na cha Ulinzi wa Anga vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba kufanya mazungumzo na Marekani si jambo la werevu, mantiki, wala heshima.
-
Kamanda Salami wa IRGC : Hatutasalimu amri mbele ya tishio lolote
Feb 07, 2025 04:26Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema nguvu za Iran na historia yake pana inaifanya isiweze kutetereshwa na mashinikizo ya nje.
-
Pezeshkian: Silaha za nyuklia hazina nafasi katika doktrini ya Jamhuri ya Kiislamu
Feb 06, 2025 23:24Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema nchi yake haifuatilii vita wala silaha za nyuklia, kwani mafundisho ya Jamhuri ya Kiislamu yanakataa mauaji ya watu wasio na hatia kwa hali yoyote.
-
Donald Trump na kuanza tena sera iliyofeli ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran
Feb 06, 2025 08:57Jumanne ya Februari 4, 2025, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini hati ya utendaji ili kuendeleza sera za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran na kudai kwamba, "Yuko tayari kuzungumza na rais wa Iran."
-
Iran yalaani mpango wa Marekani wa kunyakua na kuitwaa Gaza
Feb 06, 2025 07:48Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepinga vikali mpango wa Marekani wa kutaka kuinyakua na kuitwaa Gaza, na kusema kutolewa fikra kama hiyo ni jambo la kushangaza linalokwenda sambamba na mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuiangamiza kabisa Palestina.
-
Iran yaonesha sehemu ya nguvu zake za makombora mapya
Feb 06, 2025 03:39Mfumo wa kimkakati wa ulinzi wa anga wa masafa marefu wa Bavar 373 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umepasi katika majaribio kwa kutungua kwa umahiri vyombo vilivyokuwa vinaruka katika masafa ya juu angani. Hayo yamefanyika kwenye mazoezi ya kijeshi ya anga ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyopewa jina la Eqtedar 1403.
-
Pezeshkian: ECO ni jukwaa muhimu la ushirikiano baina ya nchi za Kiislamu
Feb 06, 2025 03:26Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano kati ya nchi za Kiislamu na amesema: "Jumuiya ya ECO inaweza kuwa jukwaa linalofaa mno kwa ajili ya kuleta maelewano na ushirikiano kati ya mataifa ya Kiislamu."