-
Nchi 35 duniani zinatumia dawa za kibioteknolojia za Iran
Feb 05, 2025 23:04Katibu wa Jumuiya ya Watengenezaji na Wasafirishaji wa Bidhaa za Dawa za Sekta ya Bioteknolojia ya Iran ametangaza bidhaa hizo zinauzwa katika nchi 35.
-
Kiongozi Muadhamu awasamehe wafungwa zaidi ya 3,000 kwa mnasaba wa maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 05, 2025 11:25Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ameidhinisha kusamehewa kikamilifu au sehemu ya adhabu wafungwa zaidi ya 3,000 katika maadhimisho ya mwaka wa 46 wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Iran na Iraq katika mkondo wa kuongeza maelewano na ushirikiano wa pamoja
Feb 05, 2025 09:51Rais wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kujiepusha na masuala yanayozusha hitilafu na badala yake zinapasa kushikama na kuwa kitu kimoja; na kwa njia hiyo ni wazi kuwa njama za maadui na wale wanaozitakia mabaya wenzao hazitafanikiwa.
-
Iran yamhutubu Trump: Mashinikizo mengine ya juu, kushindwa tena US
Feb 05, 2025 09:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, duru mpya ya kutekeleza sera ya "mashinikizo ya juu" ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu itapelekea kushindwa tena Washington.
-
Kiongozi Muadhamu amteua Naim Qassem kuwa mwakilishi wake Lebanon
Feb 05, 2025 08:59Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, katika dikrii, amemuarifisha Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawamaya ya Hizbullah, Sheikh Naim Qassem kama mwakilishi wake nchini Lebanon.
-
Araghchi: Ushindi Wa Muqawama unasimulia mafanikio yake na kushindwa Israel
Feb 04, 2025 23:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameashiria umuhimu wa kusimuliwa kwa usahihi mafanikio ya Mrengo wa Muqawama wa Palestina katika kupinga jinai za Israel.
-
Jeshi la Iran laanza awamu ya pili ya luteka ya ulinzi wa anga ya 'Eqtedar 1403' kusini magharibi ya nchi
Feb 04, 2025 09:19Jeshi la Iran limeanza awamu ya pili ya mazoezi ya ulinzi wa anga ya "Eqtedar 1403", yanayolenga kulinda anga ya taifa sambamba na juhudi za kuimarisha zaidi uwezo wa ulinzi wa nchi.
-
Muhusika wa faili la nyuklia la Iran: Tehran inatetea kwa nguvu zote mpango wake wa amani wa nyuklia
Feb 04, 2025 05:04Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na muhusika wa faili la nyuklia la Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatetea kwa nguzu zote mpango wake wa nyuklia unaotekelezwa kwa malengo ya kiraia.
-
Rais wa Iran asisitiza umoja kati ya nchi za Kiislamu
Feb 04, 2025 04:17Rais wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kujiepusha na masuala yanayozusha hitilafuna badala yake zinapasa kushikama na kuwa kitu kimoja; na kwa njia hiyo ni wazi kuwa njama za maadui na wale wanaozitakia mabaya wenzao hazitafanikiwa.
-
Iran yaionya Israel kutokariri mauaji ya kimbari ya Gaza katika Ukingo wa Magharibi
Feb 03, 2025 23:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameitolea wito jamii ya kimataifa kuishurutisha Israel isikariri jinai yake ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kama ilivyofanya katika Ukanda wa Gaza.