-
Meja Jenerali Salami: Kikosi cha Quds kimemkaba adui maidanini
Feb 03, 2025 23:23Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: Kikosi cha Quds cha jeshi hilo kimemmaliza adui kwenye medani za mapambano na kumdidimiza.
-
Mafanikio mapya ya kiulinzi ya Iran yana jumbe gani?
Feb 03, 2025 08:51Ikiwa ni katika muendelezo wa kuzindua mafanikio ya kiulinzi ya Iran, Jumapili ya jana tarehe Pili Februari, Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kilizindua kituo kipya cha chini ya ardhi.
-
Mjukuu wa Imam Khomeini: Kama Mapinduzi ya Kiislamu yasingekuwepo, HAMAS nayo isingelikuwepo wala hamasa yake
Feb 03, 2025 07:02Mjukuu wa Imam Khomeini MA mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: "Si haki kusema kwamba kukua na kustawi makundi ya Muqawama na mapambano ya Kiislamu kama HAMAS, hakukuathiriwa moja kwa moja na ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran yaliiyoongozwa na Imam Khomeini MA."
-
Hivi ndivyo vituo vitatu vya anga za mbali vya Iran vilivyofelisha vikwazo vya Marekani
Feb 03, 2025 07:00Licha ya kuweko vikwazo vikali vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, lakini vituo vitatu vya anga za mbali vya Iran vimeendelea kuzalisha teknolojia ya kisasa ya anga za juu. Kwa kutegemea ujuzi wa wananchi wake na uwezo wa wataalamu wa ndani ya Iran, vituo hivi vimefanikiwa kufelisha vikwazo na kupata maendeleo makubwa katika uwanja wa satelaiti na kurusha satelaiti kwenye anga za mbali.
-
Eslami: Upande wa Ulaya umeiambia Iran kuwa 'uondoaji vikwazo hauko kwenye mamlaka yetu'
Feb 03, 2025 03:31Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran, amesema kuhusu mazungumzo yaliyofanywa kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Ulaya kwamba, maelezo ya msingi ya upande wa Ulaya ni kuwa 'vikwazo haviko mikononi mwetu, hatuna nafasi yoyote juu ya suala hilo na kadhia hii iko kwenye mamlaka ya Marekani'.
-
Imam Khamenei: Gaza imezipiga mweleka Marekani na Israel kwa Neema za Allah
Feb 02, 2025 09:35Kiongozi Muadhami wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema hakuna mtu yeyote angelifikiria mwaka jana kwamba, Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wangeliibuka washindi dhidi ya muungano wa Marekani na Israel.
-
Iran yazindua satalaiti 3 za Navak-1, Pars-1 iliyoboreshwa, na Pars-2
Feb 02, 2025 07:47Iran imezindua satalaiti tatu mpya wakati wa hafla iliyofanyika leo Jumapili kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Anga za Mbali.
-
Rais Pezeshkian atembelea mafanikio mapya ya anga na ulinzi ya Wizara ya Ulinzi
Feb 02, 2025 04:19Rais Masoud Pezeskhian mapema leo ametembelea maonyesho ya mafanikio ya Wizara ya Ulinzi. Ziara hii imefanyika leo Jumapili katika Shirika la Anga za Mbali la Iran katika kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Anga za Mbali.
-
IRGC yazindua kituo kipya cha chini ya ardhi cha makombora ya kruzi ya kuteketeza manowari za mashambulizi
Feb 02, 2025 00:07Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimezindua kituo kipya cha chini ya ardhi katika maeneo ya mwambao wa kusini mwa Iran, kinachohifadhi makombora yaliyo tayari kuteketeza manowari za mashambulizi za adui katika eneo la kimkakati la majini.
-
"Urithi wa Mashahidi wa Brigedi za Qassam utatokomeza saratani ya Israel"
Feb 01, 2025 04:28Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema urithi adhimu wa Mashahidi wa Brigedi za Izzudin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, katika vita dhidi ya Israel utatia nuru kwenye mustakbali wa Muqawama.