-
Iran: Ndoto ya Wazayuni ya kuuzima moja kwa moja Muqawama wa Palestina haitatimia katu
Sep 01, 2024 07:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, hakuna shaka yoyote kwamba ndoto ya Wazayuni ya kuuzima moja kwa moja Muqawama wa Palestina haitatimia katu, bali ni kinyume chake, yaani mwisho wa mlolongo wa jinai za Wazayuni utakuwa mwanzo wa ushindi wa taifa vumilivu na la Jihadi la Palestina na kushindwa na kusambaratika kikamilifu utawala wa Israel.
-
Pezeshkian: Umoja ndio njia bora ya kukabiliana na matatizo ya kiuchumi
Sep 01, 2024 03:52Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesisitiza haja ya kulinda umoja wa kitaifa miongoni mwa mirengo na makundi mbalimbali ya kisiasa ili kuwatumikia vyema zaidi wananchi.
-
Rais wa Iran kushiriki mkutano wa BRICS nchini Russia
Aug 31, 2024 09:35Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anatazamiwa kushiriki Mkutano wa BRICS wa 2024 nchini Russia karibuni hivi.
-
Iran yakanusha madai ya kuwapa mafunzo askari wa Russia huko Ukraine
Aug 31, 2024 08:18Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuzilia mbali madai kwamba mwanajeshi wa Jamhuri ya Kiislamu amekuwa akitoa mafunzo kwa wanajeshi wa Russia katika ardhi ya Ukraine.
-
"Wazayuni, kizingiti cha kupatikana uthabiti katika umma wa Kiislamu"
Aug 31, 2024 07:51Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Amani na Usalama ya Kimataifa ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni ndicho kikwazo kikuu cha kupatikana uthabiti na maendeleo endelevu katika ulimwengu wa Kiislamu na eneo la Asia Magharibi.
-
Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kuungana ikwa ajili kukabiliana na mauaji ya kimbari huko Gaza
Aug 31, 2024 04:30Mjumbe wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ametoa wito wa kuwepo umoja miongoni mwa nchi za Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na jinai na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Iran: Utawala wa Israel ni kikwazo kikubwa kwa amani na chanzo cha mivutano katika eneo
Aug 31, 2024 01:00Abbas Araghchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameukosoa vikali utawala ghasibu wa Israel na kusema ukatili wake usiokoma kuwa ndio sababu kuu ya kuongezeka hali ya wasiwasi na migogoro katika eneo la Asia Magharibi.
-
Iran: Uingereza inaendeleza siasa za kindumilakuwili kuhusu ugaidi
Aug 31, 2024 00:46Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini London umeilaumu Uingereza kwa siasa zake za nyuso mbili kuhusu ugaidi na kusema kuwa, wakati wananchi wa Iran wanapouawa kigaidi, kwa mujibu wa serikali ya London, ugaidi huo unavumilika, na hauwezi kuchukuliwa msimamo kama wa ugaidi unaofanyika maeneo mengine.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran alisifu Bunge lilivyoamiliana vizuri na Serikali mpya
Aug 30, 2024 08:34Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, kupigiwa kura ya imani mawaziri wote na Bunge la 12, ambayo ni hatua nadra kuwahi kushuhudiwa kunaonyesha jinsi Bunge hilo lilivyoamiliana kwa busara na kitaalamu na Serikali mpya ya 14.
-
Rais Pezeshkian: Sera za Iran ni kushirikiana na kupanua uhusiano na nchi zote za dunia
Aug 29, 2024 23:57Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa, sera za Jamhuri ya Kiislamu ni kushirikiana na kupanua uhusiano na nchi zote za dunia