-
Ayatullah Khamenei: Kipaumbele muhimu ni utekelezaji wa makubaliano kati ya Iran na Iraq
Jul 31, 2024 00:06Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Iraq kwamba utekelezwaji wa mapatano baina ya nchi hizo mbili ndio kipaumbele muhimu zaidi.
-
Bagheri: Tuna matarajio ya kufungua upeo mpya katika uhusiano wa Iran na Sudan
Jul 30, 2024 23:30Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kufunguliwa tena balozi za nchi mbili za Iran na Sudan ni kielelezo cha azma kubwa ya viongozi wa pande mbili ya kuanzisha njia sahihi katika mchakato wa kustawisha uhusiano.
-
Pezeshkian amekula kiapo mbele ya Bunge kama rais wa 9 wa Iran
Jul 30, 2024 11:39Daktari Masoud Pezeshkian leo alasiri amekula kiapo kama rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mbele ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge), na viongozi kutoka nchi zaidi ya 88 waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwake.
-
Iran na Afrika Kusini zatilia mkazo kuimarishwa uhusiano wa pande zote
Jul 30, 2024 08:22Rais wa jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na Afrika Kusini katika nyuga za pande mbili na pia ushirikiano wa kimataifa ukiwemo ule wa BRICS, na kusema: "Kwa kuzingatia uwezo uliopo, ninatumai kuwa uhusiano wa kiuchumi na ushirikiano wa kibiashara kati ya pande hizo mbili utaimarika zaidi na zaidi.
-
Kharazi: Madai ya Israel ya kuhusisha tukio la Golan na Hizbullah ni njama na kichekesho
Jul 30, 2024 08:21Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Mahusiano ya Kigeni la Iran ameyataja madai taliyotolewa na Israel ya kulihusisha tukio la Golan inayokaliwa kwa mabavu na Hizbullah kuwa ni kichekesho.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Leo hii, bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Gaza
Jul 30, 2024 08:19Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza ushujaa wa wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Ghaza na kusema: Leo bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Ukanda wa Gaza.
-
Iran yatangaza kurejesha uhusiano wa kidiplomasia na Gambia
Jul 30, 2024 04:28Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Gambia zimerejesha uhusiano wao wa kidiplomasia baada ya kusimama kwa takriban miaka 14.
-
Ujumbe wa pongezi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Rais Masoud Pezeshkian
Jul 30, 2024 04:24Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake wa kupongeza kuchaguliwa Rais Masoud Pezeshkian kuwa rais mpya wa Jamhuri ya Kiiislamu ya Iran ametangaza utayarifu wa shirika hilo la kimataifa kwa ajili ya kushirikiana na serikali mpya ya Iran.
-
Hafla ya kuapishwa Rais wa Iran kufanyika leo
Jul 30, 2024 04:10Hafla ya kuapishwa Rais mpya wa Iran inafanyika leo katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge).
-
Rais mpya wa Iran: Sera za Iran katika kuitetea Palestina haziwezi kubadilika
Jul 30, 2024 04:07Rais mpya wa Iran amesema alipoonana na kuzunguzma na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina kuwa misimamo na sera za mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuwaunga mkono waliodhulumiwa wakiwemo wananchi wa Palestina haziwezi kubadilika.