-
Rais Pezeshkian aonya: Matokeo hasi 'mazito' yanaingojea Israel ikijaribu kuishambulia Lebanon
Jul 29, 2024 23:47Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa matokeo hasi 'mazito' utayapata utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa utafanya kosa kubwa la kushambulia kijeshi Lebanon.
-
Iran yaionya Israel dhidi ya 'chokochoko mpya' kuhusu Lebanon
Jul 29, 2024 22:57Nasser Kan'ani, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametahadharisha dhidi ya chokochoko mpya za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Lebanon kwa kisingizio cha tukio la Majdal Shams katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo la Golan nchini Syria.
-
Matarajio ya Kiongozi Muadhamu kuhusu sera ya kigeni katika Serikali ya Awamu ya 14
Jul 29, 2024 11:52Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameelezea matarajio yake katika uga wa sera za kigeni katika sherehe ya kuidhinishwa rais mpya Masoud Pezeshkian iliyofanyika jana Jumapili tarehe 28 Julai mjini Tehran.
-
Iran: Kupanuka jinai za Wazayuni ni tishio kwa amani na usalama wa dunia
Jul 29, 2024 09:23Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kupanuka na kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza ni tishio kwa amani na usalama wa eneo la Maghahribi mwa Asia na dunia.
-
Tehran inajiandaa kwa hafla ya kuapishwa Pezeshkian huku viongozi wa nchi mbalimbali wakiwasili kwa wingi
Jul 29, 2024 09:09Viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka nchi mbalimbali tayari wamewasili Tehran mji mkuu wa Iran kwa lengo la kushiriki katika hafla ya kuapishwa Rais mpya wa Iran, Masoud Pezeshkian kesho Jumanne.
-
Indhari ya Ali Bagheri kwa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ujerumani
Jul 28, 2024 23:01Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufungwa vituo vya Kiislamu nchini Ujerumani ni kitendo cha kisiasa kabisa kinachoendana na chuki dhidi ya Uislamu na maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Demokrasia ya Iran haikupatikana kwa urahisi
Jul 28, 2024 08:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ameutaja uchaguzi wa Rais wa Awamu ya 14 wa Jamhurii ya Kiislamu ya Iran kuwa ni wa mafanikio ya taifa katika mtihani muhimu. Ameyasema hayo leo mjini Tehran katika sherehe ya amemuidhinisha rasmi Rais wa Awamu ya 14 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian.
-
Iran yaionya Israel dhidi ya 'chokochoko mpya' kuhusu Lebanon
Jul 28, 2024 07:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametahadharisha kuhusu chokochoko yoyote mpya ya utawala wa Kizayuni wa Israel mkabala wa Lebanon.
-
Kiongozi Muadhamu amuidhinisha rasmi Dkt Pezeshkian kuwa Rais wa Iran
Jul 28, 2024 04:18Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemuidhinisha rasmi Masoud Pezeshkian kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika hafla iliyohudhuriwa na maafisa wa kitaifa na kijeshi hapa Tehran.
-
Balozi wa Iran Lebanon: Iran daima inaunga mkono amani na utulivu katika eneo
Jul 28, 2024 04:16Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haifuatilii vita na daima imekuwa ikiunga mkono amani na utulivu katika eneo la Asia Magharibi.