-
Iran yalaani shambulizi la kigaidi lililoua makumi ya watu nchini Russia
Mar 22, 2024 23:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi lililoua na kujeruhi makumi ya watu katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
-
Hujjatul-Islam Ali Akbari: Maadui wasubiri operesheni zijazo za Kimbunga cha al-Aqsa
Mar 22, 2024 08:16Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema maadui wa Palestina wanapasa kusubiri operesheni ya pili, ya tatu na hata ya nne ya Kimbunga cha al-Aqsa kutoka kwa makundi ya muqawama.
-
Uchambuzi wa vita vya Gaza katika hotuba ya Nowruz ya kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 22, 2024 03:34Katika hotuba yake ya siku ya kwanza ya mwaka mpya wa 1403 Hijria Shamsia, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amesema suala la Palestina na Gaza ni suala la daraja ya kwanza la kimataifa na kusisitiza kuwa: Kadhia ya Gaza imeonesha jinsi ulimwengu eti uliostaarabika na unaodai kutetea haki za binadamu, unavyofanya dhulma kubwa dhidi ya watu wa Gaza.
-
Amir Abdollahian: Netanyahu amefika mwisho wa mstari
Mar 22, 2024 03:26Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Benyamin Netayahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amefikia mwisho wa barabara.
-
Iran yalaani kimya cha dunia mkabala wa jinai za Israel huko Gaza
Mar 21, 2024 07:35Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kusitishwa uungaji mkono kwa jinai na mauaji yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Maonesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yafunguliwa Tehran
Mar 21, 2024 04:45Maonesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamefunguliwa katika siku ya kwanza ya mwaka mpya wa Hijria Shamsia.
-
Gazeti la Kirusi: Mhimili wa Moscow-Tehran-Beijing unaundika katika maji ya bahari
Mar 21, 2024 04:27Gazeti la Russia la "Nezavisimaya Gazeta" limeandika kwamba muungano mpya unaundwa kaskazini mwa Bahari ya Hindi kati ya China, Russia na Iran, na kwamba mazoezi ya pamoja ya majini kati ya meli za kivita za nchi hizo tatu yanafanyika katika "Ghuba ya Oman" chini ya jina "Ukanda wa Usalama wa Baharini."
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Njia ya kukomesha dhulma kubwa ya kuwepo utawala wa Kizayuni itaendelea
Mar 20, 2024 23:30Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema: Njia ya kukomesha dhulma kubwa ya kuwepo utawala wa Kizayuni wa Israel itaendelea.
-
Kiongozi Muadhamu: Muqawama umevunja njama za Marekani katika eneo
Mar 20, 2024 11:31Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza operesheni za makundi ya muqawama ya Palestina, Yemen, Syria, Iraq, na Lebanon dhidi ya utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa, mrengo wa mapambano ya Kiislamu umefanikiwa kusambaratisha njama za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Iran yaonya kuhusu hatua za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wanaokwenda kusali Msikiti wa Al-Aqsa
Mar 20, 2024 08:41Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu vitendo vyovyote vya kichokozi vinavyoweza kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Quds Tukufu na Msikiti wa Al-Aqsa dhidi ya Waislamu Wapalestina wanaokwenda kusali katika msikiti huo wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.