-
Maadhimisho ya kupitishwa kwa sheria ya kutaifishwa kwa sekta ya mafuta ya Iran
Mar 20, 2024 04:28Siku ya mwisho katika kalenda ya Hijria Shamsia ya Iran ambayo ilikuwa jana ni maarufu kama "Siku ya Kutaifisha Sekta ya Mafuta". Katika siku hii, miaka 73 iliyopita baada ya vuta nikuvute na mapambano ya wananchi wa Iran dhidi ya mkoloni Mwingereza na utawala kibaraka wa mfalme hapa nchini, hatimaye wabunge wa Bunge la Taifa walipitisha muswada wa kutaifisha sekta ya mafuta nchini.
-
Rais Ebrahim Raisi: Mwaka 1403 Hijria Shamsia ni wa kuongeza uzalishaji
Mar 20, 2024 04:01Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa baraka kwa mnasaba wa kuingia mwaka mpya wa Kiirani wa 1403 Hijria Shamsia na kusaidifiana tukio hilo na mwezi mtukufu wa Ramadhani na kusema kuwa, mwaka huu utakuwa wa kuongeza uzalishaji wa bidhaa.
-
Mwaka mpya wa Hijria Shamsia; Mwaka wa Mapinduzi ya Kiuchumi kwa Kushirikisha Wananchi
Mar 20, 2024 00:36Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe muhimu kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa Kiirani wa 1403 Hijria Shamsia na ameuita mwaka huo kuwa ni wa mapinduzi ya kiuchumi kwa kushirikisha wananchi.
-
Rais wa Russia awapongeza Wairani kwa mnasaba wa Ramadhani na Mwaka Mpya
Mar 19, 2024 23:12Rais wa Russia Vladimir Putin amelipongeza taifa la Iran kwa kwa minasaba miwili ya mwezi mtukfuu wa Ramadhani na kuwadiawaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsiya ambao umeanza leo.
-
Iran yalaani shambulio katika hospitali ya Al Shifa Ukanda wa Gaza
Mar 19, 2024 08:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha ukatili na kinyama cha utawala wa Kizayuni cha kuishambulia hospitali ya al Shifa huko Ukanda wa Gaza.
-
Iran: Shutuma za USA na UK kuhusu Bahari Nyekundu na Yemen hazina msingi wowote
Mar 19, 2024 04:27Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha tuhuma zisizo na msingi za Marekani na Uingereza dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu hali ya Bahari Nyekundu na Yemen.
-
Kuwekwa vikwazo vipya dhidi ya Iran
Mar 18, 2024 23:09Wizara ya Fedha ya Marekani kwa mara nyingine imeamua kuweka vikwazo vipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Abdollahian: Iran ina azma ya kuimarisha uhusiano na Niger
Mar 18, 2024 10:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa serikali ya Rais Ebrahim Raisi ina hamu ya kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano na nchi za Afrika ikiwemo Niger.
-
Mkuu wa usalama wa Iran: Syria yenye nguvu itanufaisha usalama na utulivu wa eneo
Mar 18, 2024 01:50Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) Ali Akbar Ahmadian amesema Syria yenye nguvu itanufaisha usalama na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi.
-
Mashirika 16 ya Kiirani katika maonyesho ya afya Kenya
Mar 17, 2024 07:40Mashirika 16 ya ubunifu wa utaalamu ya Iran yanashiriki katika duru ya 24 la Maonyesho ya Sekta ya Afya nchini Kenya, yaliyopangwa kufanyika Nairobi kuanzia tarehe 17 hadi 19 mwezi Aprili mwaka huu.