-
Araqchi akadhibisha madai ya Marekani na Israel kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, asema ni uongo mtupu
Nov 02, 2025 23:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, kwa mara nyingine tena amepinga hatua ya Marekani na Israel ya kuhalalisha mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, akiitaja kuwa ni uongo mkubwa.
-
Rais Pezeshkian: Sekta ya nyuklia ya Iran inalenga ustawi wa umma, si silaha za nyuklia
Nov 02, 2025 08:29Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kwamba ustawi wa sekta yake ya nyuklia ya amani nchini Iran unalenga kuimarisha ustawi wa taifa, si kupata silaha.
-
Mkuu wa IAEA akiri Iran haifuatilii mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia
Nov 01, 2025 23:46Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Nishati ya Nyuklia (IAEA) amethibitisha tena kuwa, kwa mujibu wa ukaguzi wa moja kwa moja, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia.
-
Iran yapaa kama nguzo ya kimataifa katika sekta ya shaba
Nov 01, 2025 23:46Iran inaendelea kujiboresha kama mchezaji muhimu katika soko la kimataifa la shaba, huku rasilimali zake tajiri na miradi ya maendeleo inayoendelea ikiweka taifa hilo katika nafasi ya juu zaidi ndani ya sekta hiyo.
-
Araqchi: Hatuwezi kusimamisha urutubishaji urani
Nov 01, 2025 08:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, hatuwezi kusimamisha urutubishaji urani na kwamba kile ambacho maadui hawakukipata kupitia vita hakiwezi kupatikana kwa njia ya kisiasa.
-
Iran yatangaza uungaji mkono wake kwa mamlaka ya kujitawala Sudan
Nov 01, 2025 06:10Iran imesisitiza udharura wa kuendelea kuunga mkono uhuru, umoja wa ardhi na mamlaka ya kujitawala nchi ya Sudan huku vurugu kubwa zikiendelea kulitikisa taifa hilo la Afrika.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran alaani kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia Marekani, asema ni tishio la kimataifa
Oct 31, 2025 23:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelitaja tangazo la Marekani la kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia kuwa ni kitendo kisicho cha kuwajibika na tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani na Israel zinachukiwa zaidi duniani
Oct 31, 2025 08:07Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo tawala zinazochukiwa zaidi duniani.
-
Iran na Oman zasisitiza kuimarisha zaidi uhusiano wao wa kidugu
Oct 31, 2025 03:21Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ambaye pia ni Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Badr Al-Busaid.
-
Ripoti: Mauzo ya bidhaa za Iran nchini Oman yameongezeka
Oct 30, 2025 23:46Katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka huu wa Kiirani, mauzo ya Iran kwenda Oman yameongezeka kwa asilimia 16.