-
Muqawama walaani matamshi ya mbunge wa US anayetaka Gaza ipigwe mabomu ya nyuklia
May 25, 2025 03:40Makundi ya Muqawama ya Palestina ya Hamas na Jihadul Islami yamemlaani vikali mbunge wa chama cha Republican nchini Marekani, Randy Fine kutokana na matamshi yake ya kutaka kufanyika shambulio la nyuklia katika Ukanda wa Gaza.
-
Wanajeshi wa Israel wapata pigo jingine Ghaza
May 25, 2025 03:21Licha ya kupita miezi kadhaa ya uhalifu na jinai za kivita huko Ghaza baada ya Israel kuvunja makubaliano ya amani na kuanzisha upya mashambulizi, lakini bado wanamapambano wa Palestina wako kwenye mstari wa mbele wa mapambano na wanaendelea kutoa vipigo kwa wanajeshi vamizi wa Israel.
-
Hizbullah yapata ushindi mutlaki katika uchaguzi kusini mwa Lebanon
May 24, 2025 23:11Tangu jana Jumamosi vijiji vya kusini mwa Lebanon vimeshuhudia wimbi kubwa la watu wenye hamasa wakishiriki katika uchaguzi wa manispaa na serikali za mitaa. Wananchi wamejitokeza kwa wingi mkubwa ili kwa mara nyingine kuwapa ushindi wagombea wa mrengo wa Muqawama na kuthibitisha kuwa Hizbullah ni harakati yenye nguvu kubwa Lebanon.
-
Ni bekari 4 tu zimebakia Ghaza kuhudumia watu milioni 2.4
May 24, 2025 22:53Huku Ukanda wa Ghaza ukiwa chini ya mzingiro mkali na mgogoro mkubwa wa njaa, ni bekari chache tu zimebakia zinazoweza kuzalisha mikate kwa ajili ya kuhudumia watu milioni mbili na laki nne wa ukanda huo.
-
Kwa nini mauaji ya kimbari yangali yanaendelea licha ya uungaji mkono wa kimataifa kwa Gaza?
May 24, 2025 02:56Nchi 80 zimetangaza kupitia taarifa kwamba: 'Ukanda wa Gaza unakabiliwa na mzozo mbaya zaidi wa kibinadamu tangu Oktoba 7, 2023, na raia wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa. Jinai na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni yangali yanaendelea huko Gaza.'
-
HAMAS: Ukanda wa Gaza unakabiliwa na hali mbaya kabisa ya mgogoro wa kibinadamu
May 23, 2025 23:03Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza katika taarifa yake kwamba, Ukanda wa Gaza unakabiliwa na hali mbaya kabisa ya mgogoro wa kibinadamu.
-
Hamas yapongeza mataifa 80 kwa kulaani jinai za Israel huko Gaza
May 23, 2025 08:26Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekaribisha kwa mikono miwili taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi 80 duniani, zikisisitiza kwamba Gaza inakabiliwa na mzozo mbaya zaidi wa kibinadamu tangu kuanza kwa vita vya Israel Oktoba 7 mwaka 2023.
-
Pigo kwa wanajeshi vamizi wa Israel mashariki mwa Khan Yunis
May 23, 2025 02:56Wanamapambano wa kambi ya Muqawama wa Kiislamu huko Khan Yunis katika Ukanda wa Ghaza, wameendelea kuwatia hasa wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni. Wanajeshi zaidi wa Israel wanaendelea kuripukiwa na mabomu na kupigwa risasi na vifaa vyao vya kijeshi kushambuliwa na wamamapambano wa Palestina.
-
Houthi aonya juu ya kutokea janga kubwa zaidi ikiwa Waislamu watashindwa kuizuia Israel
May 22, 2025 23:30Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ameyasuta mataifa ya Kiislamu kwa kukaa kimya na kutochukua hatua za kukabiliana na ukatili wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza.
-
Makumi ya wabunge duniani waitaka Israel ikome kuwaadhibu kwa kiu na njaa Wapalestina
May 22, 2025 23:29Makumi ya wabunge kote duniani wametoa taarifa wakitaka hatua za haraka zichukuliwe kukomesha njaa katika Ukanda wa Ghaza.