-
Hamas: Takriban watoto 19,000 wameuawa shahidi huko Ghaza
Apr 05, 2025 07:20Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuwa, takriban watoto 19,000 wameshauawa shahidi huko Ghaza na takriban watoto 39,000 wamepoteza kwa uchache mzazi mmoja au wote wawili.
-
Al Houthi: Marekani imeshindwa katika malengo yake dhidi ya Yemen/ Al Bukhaiti: Hakuna haja ya kuzungumza na Marekani
Apr 05, 2025 04:49Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameashiria jinai za utawala wa Kizayuni kwa kushirikiana na Marekani katika eneo na kusisitiza kuwa mataifa ya Magharibi hayapasi kunyamaza kimya mkabala wa hali ya mambo ya sasa ya Palestina.
-
Mufti wa Oman akosoa vikali kimya kinachoonyeshwa mbele ya jinai za Israel dhidi ya Ghaza
Apr 05, 2025 03:50Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed al-Khalili, amekosoa vikali kimya kinachoonyeshwa mbele ya jinai za kinyama zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
-
Yemen yalishambulia kwa droni eneo la kijeshi la Israel, Tel Aviv, yatungua droni ya US Sa'daa
Apr 05, 2025 03:49Vikosi vya Ulinzi vya Yemen (YAF) vimefanya operesheni ya kijeshi kulenga eneo la jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Yafa kwa kutumia ndege isiyo na rubani ya Yaffa iliyotengenezwa ndani ya Yemen, na kuiangusha pia ndege isiyo na rubani ya Marekani aina ya Giant Shark F360 katika Mkoa wa Sa'daa.
-
Mkuu wa UNRWA alaani mashambulizi ya Israel dhidi ya majengo ya Umoja wa Mataifa
Apr 04, 2025 23:07Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi wa Kipalestina limelaani vikali mashambulizi ya Israel dhidi ya majengo ya taasisi hiyo huko Gaza.
-
UN: Israel imegeuza theluthi mbili za ardhi ya Ghaza kuwa eneo lisiloruhusiwa kufika
Apr 04, 2025 23:06Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imetangaza kuwa, hivi sasa utawala wa Kizayuni wa Israel umewawekea vizuizi Wapalestina vya kutoruhusiwa kufika kwenye takriban theluthi mbili ya eneo la Ukanda wa Ghaza, ama kwa kuyatangaza maeneo makubwa kadhaa ya ukanda huo kuwa ni marufuku kufika au kutoa amri ya kuwalazimisha wananchi hao kuyahama makazi yao.
-
Watu watatu wauawa, akiwemo afisa wa Hamas, katika shambulio la Israel kusini mwa Lebanon
Apr 04, 2025 06:44Angalau watu watatu, akiwemo afisa mwandamizi wa harakati ya Hamas, wameuawa katika shambulio la anga la Israel lililolenga nyumba moja kusini mwa Lebanon, katika ukiukaji wa wazi wa makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Mashambulizi mapya ya anga ya Marekani yalenga maeneo kadhaa Kaskazini mwa Yemen
Apr 04, 2025 06:40Marekani imeendeleza mashambulizi dhidi ya Yemen kwa kuanzisha wimbi jipya la mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo ya Kiarabu, yakilenga maeneo ya raia na baadhi ya maeneo ya kijeshi.
-
UN: Mashambulizi ya Israel dhidi ya magari ya wagonjwa ni jinai ya kivita
Apr 04, 2025 03:34Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu amesema kuwa hatua ya Israel ya kufyatulia risasi magari ya wagonjwa huo Ghaza inaweza kuwa jinai ya kivita.
-
Vikosi vya Yemen vyatungua ndege isiyo na rubani ya Marekani MQ-9
Apr 03, 2025 23:40Jeshi la Yemen limeitungua ndege isiyo na rubani ya MQ-9 ya Marekani wakati ilipokuwa inafanya mashambulizi ya kiuadui katika anga ya mkoa wa Hodeidah. Hiyo ni droni ya 17 kutunguliwa na Jeshi la Yemen kama sehemu ya vita vitakatifu vya Jihad vya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza.