-
Je, dunia itabaki kuwa mtazamaji pekee wa mauaji ya kimbari Gaza?
May 01, 2025 09:47Ukanda wa Gaza uko katika janga kubwa la kibinadamu. Katika miezi iliyopita, kushadidi mzingiro wa utawala haramu wa Israel katika eneo hilo sambamba na mashambulizi ya mara kwa mara ya angani na nchi kavu, na vizuizi vikali vya misaada ya kibinadamu vilivvyowekwa na utawala huo wa Kizayuni vimeharibu si tu miundombinu ya msingi ya eneo hilo, bali pia vimeweka hatarini matumaini ya kuendelea kuishi kwa malaki ya raia wa Palestina.
-
Asasi za kimataifa: Maghala ya chakula Gaza yamebakia tupu
May 01, 2025 09:33Asasi mbalimbali za kimataifa zimeonya kuhusiana na hali mbaya ya uhaba na ukosefu wa chakula katika Ukanda wa Gaza na kueleza kuwa, hivi sasa maghala ya chakula katika ukanda huo yapo tupu.
-
Wanajeshi wa Israel hawataki vita dhidi ya Gaza
May 01, 2025 09:20Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendelea kupinga vita dhidi ya Gaza.
-
Moto wafika kwenye moyo wa utawala wa Kizayuni; kambi ya jeshi na makumbusho vyateketea
May 01, 2025 01:57Moto mkubwa unaendelea kuteketeza maeneo mengi ya utawala ghasibu wa Israel huku opereshei ya kuhamisha wakazi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ikiendelea. Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeiripoti kuwa moto huo umeenea katika maeneo mapya ya Quds inayokaliwa kwa mabavu (Jerusalem ) na kusambaa hadi katika makumbusho ya zana za kivita za jeshi la Israel.
-
Zaidi ya wahudumu 1400 wa sekta ya tiba Gaza wameuawa na Israel
May 01, 2025 00:15Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Israel yameua mamia ya madaktari na wahudumu wa afya katika eneo hilo linalozingirwa.
-
Mkutano wa Kiislamu Lahore watilia mkazo kuungwa mkono Palestina
May 01, 2025 00:15Mkutano wa Kiislamu kuhusu nafasi ya ulimwengu wa Kiislamu katika kuunga mkono Palestina uuliofanyika huko Lahore, Pakistan umetilia mkazo juu ya uulimwengu wa Kiislamu kuunga mkono kadhia ya Palestina.
-
Oktoba 7; Netanyahu aeupuka uwajibikaji huku mgawanyiko ikishadidi Israel
Apr 30, 2025 10:06Miezi 18 baada ya Oktoba 7, 2023, bado serikali ya utawala wa Israel inakabiliwa na taathira za na operesheni ya "Kimbunga cha Al-Aqsa" na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anajaribu kuepuka uwajibikaji huku akijaribu kutupia lawama hii kubwa kwa wengine.
-
Israel: Hatusitishi mashambulizi mpaka Wapalestina wafukuzwe Gaza; Syria igawanyishwe
Apr 30, 2025 06:49Waziri wa fedha mwenye misimamo ya kuchupa mipaka wa Israel, Bezalel Smotrich anasema utawala huo wa Kizayuni utasitisha tu uvamizi wake Gaza wakati "mamia ya maelfu" ya Wapalestina watalazimishwa kuyahama makazi yao; na Syria igawanyishwe vipande vipande.
-
Pakistan: India huenda ikaanzisha mashambulizi ndani ya saa 24 hadi 36 zijayo
Apr 30, 2025 03:05Waziri wa Habari wa Pakistan, Attaullah Tarar amesema leo Jumatano kwamba nchi yake ina taarifa za kuaminika za kiintelijensia kwamba India inakusudia kufanya shambulizi la kijeshi dhidi ya Pakistan ndani ya masaa 24 hadi 36 yajayo, hilo likiwa tishio la hivi karibuni zaidi la vita kati ya majirani hao wawili wenye silaha za nyuklia.
-
Ben-Gvir aagiza kufungwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds
Apr 29, 2025 23:01Waziri wa wa Israel mwenye misimamo ya kufurutu ada, Itamar Ben-Gvir, ameamuru kufungwa kwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds katika eneo la Quds Mashariki linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni; huu ukiwa ni ukiukaji wa wazi wa kanuni za kimataifa, ukiashiria hatua nyingine ya kichokozi inayowalenga Wapalestina katika eneo hilo.