-
Mchambuzi Mzayuni: Marekani haina uthubutu wa kuanzisha vita vingine dhidi ya Iran
Jan 16, 2026 23:01Mchambuzi mmoja wa masuala ya kieneo na kimataifa wa utawala wa Kizayuni amesema kuwa, si Donald Trump na si Marekani yenyewe, wote hawana uthubutu wa kuanzisha vita vipya dhidi ya Iran.
-
Jumuiya ya Shanghai yalaani ghasia za kigaidi nchini Iran huku uungaji mkono kimataifa ukiongezeka
Jan 16, 2026 03:48Norlan Yerkembayev Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) amelaani vikali hujuma za kigaidi na uharibifu wa hivi karibuni katika mji wa Tehran na miji mingine ya Iran iliyoathiriwa wakati wa maandamano ya amani ya wananchi.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Taifa la Iran limetibua njama ya adui kwa maandamano ya mamilioni ya wananchi
Jan 16, 2026 03:45Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa Marekani na Israel ziliwaweka magaidi vibaraka wao ili kuchochea machafuko Iran kupitia kuchoma moto misikiti na kuuwa vikosi vya usalama na raia hata hivyo taifa la Iran limetoa jibu madhubuti kwa hujuma hiyo kwa maandamano makubwa ya mamilioni ya wananchi kote nchini kulaani ghasia na machafuko.
-
Kamati ya Wateknokrati wa kuendesha Ghaza kukutana kwa kikao cha kwanza mjini Cairo, Misri
Jan 15, 2026 06:58Mipango inaendelea kupangwa kuhakikisha wajumbe wa kamati ya wateknokrati iliyoteuliwa kuendesha masuala ya Ghaza kusafiri hadi Misri kwa mkutano wake wa kwanza, uliotarajiwa kufanyika leo Alkhamisi au kesho Ijumaa. Hayo ni kwa mujibu wa chanzo kimoja cha habari cha Palestina.
-
Shirika la UNICEF: Watoto wa Gaza wamesahauliwa na jamii na kimataifa
Jan 14, 2026 08:17Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, jamii ya imewasahau watoto wa Gaza ambao wanataabika na kuteteseka kutokana na kukabiliwa na hali mbaya ya kibinadamu na ukatili wa kutisha.
-
Qatar: Tunawasiliana ili kutatua tofauti kati ya Marekani na Iran
Jan 13, 2026 23:12Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar ametangaza kuwa, Doha inafanya mawasiliano na pande mbalimbali ili kutuliza hali katika eneo hili na kutatua tofauti kati ya Iran na Marekani.
-
Wanasiasa wa Pakistan: Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran
Jan 13, 2026 23:11Wanasiasa mbalimbali wa Pakistan wamesisitiza kuwa, ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kuwa upande wa Iran katika mazingira ya sasa ambapo taifa hili la Kiislamu linaandamwa kwa njama mbalimbali.
-
Jihad Islami ya Palestina: Muqawama hauwezi kutokomezwa
Jan 13, 2026 03:11Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina amesisitiza katika taarifa yake kwamba Muqawama na mapambano ya ukombozi wa Palestina ni sehemu muhimu ya taifa la Palestina na hayawezi kutokomezwa au kuangamizwa.
-
Balozi wa Uingereza Tehran akabidhiwa malalamiko baada ya wahuni kuvamia ubalozi wa Iran London
Jan 12, 2026 06:38Iran imemwita Balozi wa Uingereza mjini Tehran, Hugo Shorter, kufuatia shambulio dhidi ya ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu huko London na kitendo cha kuondolewa kwa bendera rasmi ya nchi.
-
Ripoti: Israel inapanga kuanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Ghaza ifikapo mwezi Machi
Jan 12, 2026 02:32Gazeti la Kizayuni la Times of Israel limeripoti kuwa, jeshi la utawala haramu wa Israel linapanga kuanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Ukanda wa Ghaza ifikapo mwezi Machi ili kunyakua ardhi zaidi za eneo hilo na kuusukuma Mstari wa Njano kuelekea magharibi zaidi upande wa pwani ya eneo hilo.