-
Kocha mwanamke wa Futsal Iran aingia katika orodha ya makocha kumi bora duniani
Jan 07, 2025 09:17Kocha mwanamke wa timu ya Futsali ya Saipa Iran ameng'ara na kuuingia katika orodha ya makocha kumi bora duniani katika chezo wa Futsal.
-
Wazayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti wa al-Aqswa
Jan 07, 2025 08:47Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena msikiti mtakatifu wa wa Al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi dhidi ya kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.
-
Mashinikizo kwa serikali ya Iraq ya kuvunja Hashd al-Shaabi
Jan 07, 2025 07:20Mashinikizo ya kigeni hususan kutoka Marekani yameongezeka kwa serikali ya Iraq ili kuivunja Harakati ya Wananchi ya Hashd al-Shaabi.
-
Takribani misikiti 1000 imebomolewa katika vita vya Gaza
Jan 06, 2025 23:13Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini ya Palestina imetangaza katika ripoti yake kuwa, utawala wa Kizayuni umebomea kabisa au sehemu misikiti 966 ya Ukanda wa Gaza katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
-
Gazeti la Kizayuni lakiri, makombora ya Wayemeni ni hatari
Jan 06, 2025 23:13Gazeti la Kizayuni la Jerusalem Post limekiri kuwa makombora ya Yemen yana uwezo wa hali ya juu.
-
Ni zipi njama mpya za Uzayuni dhidi ya Iraq na kanda hii?
Jan 06, 2025 10:44Nouri al-Maliki kiongozi wa Muungano wa Serikali ya Sheria wa Iraq ametahadharisha juu ya mpango wa kutaka kuligawa eneo la Asia Magharibi na njama dhidi ya Iraq.
-
Wazayuni 3 waangamizwa katika oparesheni ya Ukingo wa Magharibi
Jan 06, 2025 09:44Duru za habari zimearifu kuwa Wazayuni watatu wameangamizwa katika oparesheni iliyofanywa dhidi ya wavamiizi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa mto Jordan.
-
Yemen yawaonya Waisrael: Rudini mlikotoka kwenye nchi zenu za asili; hatutaiacha Ghaza peke yake
Jan 06, 2025 03:39Mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amewashauri walowezi haramu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu waondoke katika maeneo hayo kurejea walikotoka kwa sababu Yemen haitasitisha oparesheni zake za kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Reuters ladai HAMAS imeafiki kuwaachia huru mateka 34 wa utawala wa Kizayuni
Jan 06, 2025 03:09Shirika la habari la Reuters limedai kuwa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekubali kuwaachia huru mateka 34 wa Kizayuni ambao orodha yao imetolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Jenerali Soleimani alikuwa bega kwa bega na Iraq katika nyakati ngumu kabisa
Jan 06, 2025 02:50Waziri Mkuu wa Iraq amemsifu na kumuenzi kamanda mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kupambana na ugaidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, akisema, kamanda huyo alisimama bega kwa bega na nchi hiyo ya Kiarabu katika nyakati ngumu na za changamoto kubwa zaidi.