-
Makundi yanayopigana kwa niaba ya US na Uturuki nchini Syria yatwangana, zaidi ya 100 wauawa
Jan 05, 2025 23:36Wanamgambo zaidi ya 100 wameuawa katika muda wa siku mbili zilizopita kaskazini mwa Syria katika mapigano kati ya makundi yanayoungwa mkono na Uturuki na vikosi vya Wakurdi vinavyoungwa mkono na Marekani. Hayo ni kwa mujibu wa kundi linalofuatilia habari za vita lenye makao yake London, Uingereza.
-
Katika mwaka mmoja tu wa 2024, Israel ilibomoa kikamilifu Misikiti 815 na kuharibu 151 Ghaza
Jan 05, 2025 23:36Katika mwaka uliomalizika wa 2024, wanajeshi wa utawala wa Kiziayuni wa Israel walibomoa kikamilifu Misikiti 815 na kuharibu mingine 151 katika Ukanda wa Ghaza. Hayo yameelezwa katika ripoti iliyotolewa na Wizara ya Wakfu na Masuala ya Dini ya Palestina.
-
Wanajeshi magaidi wa Israel watimka Ghaza baada ya kuangamizwa 13 kati yao
Jan 05, 2025 23:35Duru za utawala wa Kizayuni zimetangaza kuwa, wanajeshi wa Israel wamekimbia kaskazini mwa Ghaza baada ya kupata kipigo kikali kutoka kwa wanamapambano wa Palestina hasa baada ya kuangamizwa wanajeshi 13 wa Israel kwenye eneo hilo.
-
Kuendelea misaada ya silaha ya Marekani kwa Israel
Jan 05, 2025 23:32Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza zinaendelea kwa kuungwa mkono wa nchi za Magharibi hususan Marekani.
-
Kwa siku 3 Israel yashambulia zaidi ya mara 100 Ghaza, yaua Wapalestina zaidi ya 200, wengi wao ni wanawake na watoto
Jan 05, 2025 11:06Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua Wapalestina wasiopungua 88 katika muda wa siku moja katika maeneo kadhaa ya Ukanda wa Ghaza.
-
Kukosolewa mauaji ya umati ya Israel katika Ukanda wa Gaza
Jan 05, 2025 09:01Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoitishwa kwa ajili ya kuchunguza hali ya Gaza kilifanyika kwa mara nyingine tena. Ukitoa Marekani, washiriki wengine wa mkutano huo wamekosoa "mauaji ya kimbari" ya Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza.
-
Kwa mara nyingine, Israel yashindwa kutungua kombora la Yemen
Jan 05, 2025 07:58Mapema leo Jumapili, harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa, kombora lililorushwa kutoka nchini humo limepiga kiustadi mkubwa shabaha iliyokusudiwa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni na kwamba madai ya Israel ya kutungua kombora hilo hayana ukweli wowote.
-
WHO: Mashambulizi ya Israel dhidi ya hospitali na wafanyakazi wa tiba huko Gaza yanapasa kusitishwa
Jan 05, 2025 04:17Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesisitiza ulazima wa kusitishwa mashambulizi ya Israel dhidi ya hospitali na wafanyakazi wa sekta ya afya na tiba katika Ukanda wa Gaza.
-
Utawala wa Kizayuni wakiri kuuliwa wanajeshi wake zaidi ya 800 na kujiuwa wengine 28
Jan 05, 2025 04:09Ikiwa imepita siku 456 tangu Israel ianzishe vita dhidi ya Gaza, utawala huo umekiri kuhusu baadhi ya maafa na vipigo ulivyopata tangu kutekelezwa Oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa na wanamuqawama wa Palestina.
-
Takribani Wapalestina 46,000 wameuawa shahidi na jeshi la Israel tangu Oktoba 2023
Jan 05, 2025 00:06Idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi tangu kuanza hujuma kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni huko Gaza (Oktoba 7, 2023) inaelezwa kuwa imekaribia watu 46,000.