-
Sababu za Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina kufuata muelekeo sawa na wa utawala wa Kizayuni dhidi ya HAMAS
Jan 05, 2025 00:02Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeendelea kufuata muelekeo sawa na wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa kutoa amri ya kufungwa Chaneli ya Televisheni ya Al Jazeera ya Qatar huko Ramallah.
-
Marekani kuiuzia Israel silaha za dola biloni 8 kuendeleza mauaji ya kimbari Gaza
Jan 04, 2025 09:31Utawala wa Marekani unaomaliza muda wake unapanga kuuza silaha kuiuzia Israel silaha zenye thamani ya dola bilioni 8 huku utawala huo ghasibu ukiendeleza vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Malengo ya Marekani ya kuongeza harakati za kijeshi kwenye mpaka wa Iraq na Syria
Jan 04, 2025 09:07Vyanzo vya Iraq vimeripoti kuhusu kuweko harakati kubwa za kijeshi za Wamarekani kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria na muendelezo wa uhamishaji wa vifaa na zana za kijeshi kwenye vituo vyao huko Iraq.
-
Brigedi za al Qassam zasambaratisha vifaru vinne vya merkava vya Israel
Jan 04, 2025 04:19Brigedi za al Qassam zimetangaza mapema leo kuwa zimevisambaratisha vifaru vinne vya merkava vya utawala wa Israel katika oparesheni iliyofanyika mashariki mwa mji wa Jabalia. Brigedi za al Qassam zimevisambaratisha vifaru hivyo kwa kutumia mada za milipuko.
-
Taarifa ya Hizbullah ya Iraq katika kumbukumbu ya kuuliwa shahidi Kamanda Soleimani na al Muhandis
Jan 04, 2025 04:15Harakati ya Hizbullah ya Iraq imetoa taarifa ikisisitiza udharura wa kupambana na ubeberu wa dunia katika kumbukumbu ya kuuawa shahidi makamanda mashahidi wa muqawama Luteni jenerali Qassim Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
-
Mufti wa Oman atoa mwito wa kuungwa mkono mashujaa wa Yemen
Jan 03, 2025 23:26Mufti Mkuu wa Oman amewataka watu wenye mwamko na waungwana wa Yemen na mataifa yote huru duniani kuwahami na kuwaunga mkono mashujaa wa Yemen ambao wamesimama imara kwenye njia ya haki ya kupambana na madhalimu.
-
Jeshi la Lebanon lapambana na magaidi wenye silaha katika mpaka wake na Syria
Jan 03, 2025 23:25Jeshi la Lebanon limetangaza habari ya kutokea mapigano kati yake na genge la magaidi wenye silaha kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria.
-
Hashd al-Sha'abi ya Iraq yapongeza uungaji mkono wa Iran katika vita dhidi ya Daesh
Jan 03, 2025 08:37Mkuu wa kundi la Hashd al Sha'abi la Iraq amesema kuwa ushindi dhidi ya ugaidi umetokana ni imani isiyotetereka ya makamanda waliouawa, ambayo ni lazima wailinde na kusisitiza kuwa ushindi huu ulitokana na uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hasa mchango wa shahidi Luteni Jenerali Haj Qassim Soleimani.
-
Kombora la Yemen lashambulia kambi ya kijeshi ya Wazayuni katika mji wa Ramallah
Jan 03, 2025 08:36Vyombo vya habari vya Kizayuni vimetangaza kuwa komboralililovurumishwa kutoka Yemen limeipiga kambi ya kijeshi ya Israel huko Ramallah, katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
UN yatiwa wasiwasi na hali ya kiafya na kimatibabu ya Ukanda wa Gaza
Jan 03, 2025 08:34Wataalamu hao wa Umoja wa Mataifa wataka kukomeshwa upuuaji wa waziwazi' haki ya haki ya kiafya huko Gaza baada ya utawala wa Kizayuni wiki iliyopita kuishambulia Hospitali ya Kamal Adwan katika eneo hilo na kumtia nguvuni kihilela na kumuweka kizuizini Mkurugenzi wa hospitali hiyo Dakta Hussam Abu Safiya.