-
Abdul-Malik al-Houthi: Marekani ni mshirika wa jinai zote za Israel
Oct 18, 2024 04:27Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Marekani ni mshirika wa jinai na uvamizi wote wa utawala haramu wa Israel.
-
Maandamano makubwa ya wananchi wa Jordan na Uturuki kulaani jinai za Israel Gaza
Oct 18, 2024 04:23Maelfu ya wananchi wa Jordan na Uturuki wameandamana na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Onyo la Russia kwa Israel: Msithubutu kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran
Oct 17, 2024 23:22Russia imeuonya vikali utawala haramu wa Israel na kuutaka usijaribu hata kufikiria kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran.
-
Umoja wa Mataifa yaonya kuhusu Israel kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza
Oct 17, 2024 08:38Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unazuia misaada ya kibinadamu kuingia katika Ukanda wa Gaza.
-
Ujenzi wa "nyumba zinazohamishika" huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa kuhofia makombora ya Hizbullah ya Lebanon
Oct 17, 2024 04:22Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kutengeneza nyumba zinazohamishika kutokana na wasi wasi wa kuenea mashambulizi ya makombora ya Hizbullah ya Lebanon, ili kuendeleza shughuli za viwanda vya kaskazini mwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Misri na Uhispania zatoa wito mpya wa kusitishwa mapigano Gaza na Lebanon
Oct 17, 2024 03:49Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Misri na Uhispania walitoa wito huo jana Jumatano wakitaka kusitishwa mapigano mara moja huko Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Askari 7 wa Israel waangamizwa, 49 wajeruhiwa katika mapigano na wanamuqawama wa Hizbullah
Oct 16, 2024 23:56Askari wasiopungua saba wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameripotiwa kuangamizwa katika mapigano na harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon kwenye mpaka wa kusini wa nchi hiyo na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel.
-
Lebanon yawasilisha malalamiko mapya dhidi ya Israel kwa Baraza la Usalama
Oct 16, 2024 23:23Wizara ya Mambo ya Nje ya Lebanon imesema kuwa imewasilisha malalamiko yake mapya kwa Baraza la Usalama la UN kuhusu utawala wa Kizayuni.
-
Israel imefanya kosa kubwa la kiistratijia kuua kigaidi makamanda wa Muqawama
Oct 16, 2024 07:08Balozi wa Iran nchini Lebanon amesema kuwa, jinai ya utawala wa Kizayuni ya kuwaua kigaidi makamanda wa Muqawama ni kosa kubwa la kiistratijia na kusisisitiza kuwa, Israel haiwezi kuimaliza nguvu Hizbullah kwa kuwaua kigaidi makamanda wake.
-
Qatar: Hatutaruhusu ardhi, anga yetu zitumike kushambulia majirani
Oct 16, 2024 03:38Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema nchi yake kamwe haitaruhusu Kambi ya Anga ya Al Udeid ambayo ina wanajeshi wa Marekani, Uingereza na Qatar kutumika kufanya mashambulizi dhidi ya nchi za eneo hili la Asia Magharibi.