-
Wanajeshi wa Kizayuni waangamizwa kusini mwa Lebanon
Oct 13, 2024 23:07Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon jana ilikabiliana vikali na wanajeshi wa kizayuni na kuishambulia kambi muhimu ya Israel huko kusini mwa nchi hiyo.
-
WHO: Nusu ya vituo vya tiba vya Lebanon havifanyi kazi kutokana na mashambulio ya Israel
Oct 13, 2024 22:52Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO amesema, mfumo wa huduma za afya wa Lebanon umeelemwa na mahitaji yanayoongezeka kutokana na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi hiyo.
-
Israel yafanya maangamizi Lebanon, yateketeza msikiti na soko, idadi ya waliouawa na kujeruhiwa haijajulikana
Oct 13, 2024 07:27Msururu wa mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel yameteketeza kikamilifu msikiti na kubomoa soko kusini mwa Lebanon, katika kile kilichoelezewa kama "uangamizaji wa kila kitu" huku utawala huo ghasibu ukishadidisha na kupanua mashambulizi yake ya mabomu na makombora katika kila pembe ya nchi hiyo.
-
Hamas: Israel imeshindwa kusambaratisha muqawama
Oct 13, 2024 03:29Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (muqawama) Palestina, Hamas, imesema utawala wa haramu wa Israel umeshindwa kusambaratisha wanamuqawama shupavu katika Ukanda wa Gaza.
-
Hizbullah yashambulia Tel Aviv kwa ndege zisizo na rubani
Oct 13, 2024 03:19Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imetekeleza mashambulizi ya kulipiza kisasi katika viunga vya mji wa Tel Aviv ulio katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu kwa kutumia idadi kubwa ya ndege za kivita zisizo na rubani aina ya kamikaze.
-
Hamas: Mauaji ya Jabalia ni kulipiza kisasi dhidi ya raia wa Palestina
Oct 12, 2024 08:54Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika kukabiliana na jinai mpya iliyofanywa na utawala wa Kizayuni katika kambi ya Jabalia, kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, imetoa taarifa na kueleza kuwa, mauaji ya utawala huo ghasibu katika kambi hiyo ni kuwaadhibu wakazi wa eneo kwa kusimama kidete na kupinga juhudi za utawala wa Kizayuni za kuwafukuza Wapalestina katika ardhi zao.
-
Muendelezo wa mashambulizi makali ya Hizbullah ya Lebanon kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)
Oct 12, 2024 08:11Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imelenga maeneo ya kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa mashambulizi makali ya makombora.
-
Uasi wa Tel Aviv na Netanyahu dhidi ya nidhamu na taasisi za kimataifa
Oct 12, 2024 04:46Kuendelea uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina na Lebanon na vitisho vyake vya kigaidi katika eneo, kunahesabiwa kuwa ni uasi dhidi ya sheria na utaratibu wa kimataifa ambao umeasisiwa kutokana na juhudi endelevu za miongo kadhaa za Umoja wa Mataifa na taasisi nyingine za kimataifa.
-
Waziri Mkuu wa Uhispania: Jamii ya kimataifa inapaswa kuacha kuiuzia silaha Israel
Oct 12, 2024 03:51Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kuwa, Israel imekiuka sheria za kimataifa za kibinadamu na kuitaka jamii ya kimataifa iache kuuzia silaha utawala huo ambao unafanya mauaji ya kimbari.
-
Maafisa watatu wa jeshi la Israel wameuawa katika mapigano na wanamapambano Gaza
Oct 11, 2024 23:22Mameja watatu wa jeshi la utawala haramu wa Israel wameuawa wakati wa makabiliana na wapigania ukombozi wa Palestina kaskazini mwa Gaza, wakati wapiganaji hao shupavu wakijaribu kuzuia mashambulizi ya ardhini ya wanajeshi wa Israel.