-
Kuendelea juhudi za Iran za kutanua ushirikiano wa kikanda
Oct 11, 2024 11:13Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameendelea na safari yake ya kuzitembelea nchi za eneo hili la Asia Magharibi ambapo baada ya kuitembelea Saudia ameitembelea pia Qatar katika jitihada za kuleta ushirikiano mkubwa zaidi wa kieneo na kutafuta njia za kukomesha jinai za Israel huko Palestina na Lebanon.
-
Wapalestina 28 wauawa shahidi katika mashambulizi ya Israel Gaza
Oct 11, 2024 07:48Makumi ya Wapalestina wameuawa shahidi huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika jinai mpya za jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Shambulio la kinyama la Israel katikati ya Beirut laua Walebanon 22 na kuwajeruhi wengine 117
Oct 11, 2024 04:14Utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya shambulizi la kinyama la anga katikati mwa mji mkuu wa Lebanon, Beirut nje ya viunga vya kusini mwa mji huo, na kuua watu wasiopungua 22 na kujeruhi wengine wengi.
-
Yemen yashambulia meli ya mafuta ya US na nyengine inayohusiana na Israel katika Bahari ya Sham
Oct 11, 2024 04:11Msemaji wa jeshi la Yemen ametangaza kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vimefanya operesheni mbili za mashambulio dhidi ya meli ya mafuta ya Marekani na meli ya mafuta yenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Bahari ya Hindi na Bahari ya Sham.
-
Reuters: Nchi za Kiarabu zimeiomba Marekani iizuie Israel isishambulie vituo vya mafuta vya Iran
Oct 11, 2024 00:09Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa nchi kadhaa za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zimeiomba na kuishawishi Marekani iuzuie utawala wa Kizayuni wa Israel usishambulie vituo vya mafuta vya Iran, zikikhofu kwamba Tehran inaweza kulipiza kisasi na kuathiri uzalishaji wao na kuvuruga masoko ya kimataifa.
-
Hizbullah yaendelea kuyatwanga maeneo ya Wazayuni kwa mvua ya makombora
Oct 10, 2024 23:08Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon umeendelea kutoa vipigo vikali kwa walowezi wa Kizayuni kwa kuyashambulia kwa makombora maeneo ya kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina la Israel na maeneo mengine muhimu ya Wazayuni kama Haifa.
-
Kusalia Imara Mhimili wa Muqawama
Oct 10, 2024 23:05Baada ya kutekelezwa Oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa, Utawala wa Kizayuni wa Israel ulidhani kuwa ungeweza kuiangamiza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mashambulizi ma kubwa na kuigeuza Gaza kuwa ardhi iliyoungua.
-
Onyo kali la Baghdad dhidi ya hatua ya Israel ya kumvunjia heshima Ayatullah Sistani
Oct 10, 2024 08:43Serikali ya Iraq imelaani vikali ufidhuli na hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kumuweka kiongozi wa juu zaidi ya Kiislamu nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, kama mmoja wa walengwa wa mipango ya mauaji ya kigaidi ya Israel.
-
Wazayuni wamkosoa Netanyahu kwa kuchanganyikiwa na kutokuwa na mpango wa vita
Oct 10, 2024 07:00Kuendelea kupanuka nyanja za vita vinavyoendeshwa na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel na baraza lake la mawaziri, kumekosolewa vikali na Wazayuni ambao wanalitazama suala hilo kuwa, ni ishara ya kuchanganyikiwa kwake na kutokuwa na mpango wa kuendesha vita.
-
Ndege zisizo na rubani za Hizbullah (Hud-hud) zachukua tena picha na video za vituo muhimu vya Israel
Oct 10, 2024 04:30Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeonyesha picha na video za vituo muhimu vya kijeshi, makao makuu, na maeneo ya kistatijia ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Haifa-Carmel, zilizochukuliwa na ndege zake zisizo na rubani za harakati hiyo zinazojulikana kwa jina la Hud-hud.