-
Muendelezo wa mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za muqawama wa Kiislamu wa Iraq dhidi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)
Oct 10, 2024 02:05Muqawama wa Kiislamu wa Iraq kwa mara nyingine tena umelenga na kushambulia moja ya maeneo muhimu kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa ndege isiyo na rubani.
-
Rais Erdogan: Israel ni Shirika la Kigaidi la Kizayuni
Oct 10, 2024 00:06Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vikali mashambulio ya kigaidi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon na Gaza na kuitaja Israel kuwa ni "shirika la kigaidi la Kizayuni".
-
Ayatullah Sistani awekwa kwenye orodha ya mauaji ya utawala wa Israel
Oct 09, 2024 10:30Idhaa ya 14 ya Israel imechapisha picha ya kiongozi wa juu zaidi ya Kiislamu nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, kama mmoja wa walengwa wa mipango ya mauaji ya kigaidi ya Israel.
-
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za muqawama wa Iraq dhidi ya utawala wa Kizayuni
Oct 09, 2024 03:18Muqawama wa Kiislamu wa Iraq umelenga shabaha moja muhimu ya utawala habithi wa Kizayuni kusini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqswa na kukwamishwa njama za Wazayuni Asia Magharibi
Oct 08, 2024 22:54Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ilikuwa kikwazo kwa utekelezaji wa mpango ulioandaliwa mwishoni mwa wa urais wa Donald Trump chini ya fremu ya Mkataba wa Abraham kwa ajili ya Asia Magharibi. Serikali ya Joe Biden licha ya baadhi ya tofauti na Trump lakini imeidhinisha mengi kati ya hayo.
-
Sheikh Qassim: Hakuna shaka Hizbullah itamshinda adui Mzayuni
Oct 08, 2024 08:13Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amepongeza Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyofanywa na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS na makundi mengine ya mapambano yenye makao yao makuu huko Gaza dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kusema kuwa, operesheni hiyo iliashiria mwanzo wa kubadilisha taswira ya eneo la Asia Magharibi kwa kuyahusisha makundi ya Muqawama.
-
Mchango wa wazi wa Marekani katika mauaji ya kimbari ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Gaza
Oct 08, 2024 04:14Mwaka mmoja umepita tangu yalipoanza mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza. Sababu muhimu ya kuendelea kushuhudiwa mauaji hayo ya kimbari na vilevile vita dhidi ya Lebanon katika mwezi uliopita ni uungaji mkono wa kila upande wa Marekani kwa utawala vamizi wa Israel.
-
Israel yapata hasara ya dola bilioni 66 katika vita vya Ghaza na Lebanon
Oct 08, 2024 02:26Takwimu mpya za Benki Kuu ya utawala wa Kizayuni zinaonesha kuwa, Israel imeshapata hasara ya dola bilioni 66 za Kimarekani katika vita vyake dhidi ya Ghaza na Lebanon.
-
Mashal: Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ilikuwa jibu kwa jinai za Israel
Oct 07, 2024 23:40Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, anasema operesheni ya harakati hiyo mwaka jana dhidi ya Israel ilikuwa jibu kwa jinai za utawala huo ghasibu.
-
Uchunguzi wa matokeo ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon na Palestina
Oct 07, 2024 22:45Utawala wa Kizayuni wa Israel unatumia silaha zilizopigwa marufuku kushambulia maeneo ya raia ya Lebanon na Ukanda wa Gaza.