-
Umoja wa Mataifa: Kujengwa vitongoji vipya Ukanda wa Gaza ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Dec 26, 2025 23:06Ripota maalum wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kukuza nidhamu ya kidemokrasia na uadilifu kimataifa amesema kuwa, kauli za Waziri wa Vita wa Israel kuhusu kuanzishwa kwa vitongoji vipya katika Ukanda wa Gaza ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Taasisi za Palestina: Maelfu ya wafungwa wanakabiliwa na mateso na njaa katika magereza ya Israel
Dec 26, 2025 22:54Asasi mbili za Kipalestina yametangaza kwamba, zaidi ya mateka na wafungwa 9,300 wa Palestina wanaoshikiliwa katika magereza na vituo vya kuzuiliwa vya Israel wanakabiliwa na "mateso yaliyopangwa."
-
Takriban watu 5 wameuawa katika shambulio la kigaidi msikitini wakati wa Sala ya Ijumaa huko Homs, Syria
Dec 26, 2025 08:23Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (a.S) katika kitongoji cha Wadi al Dhahab katika mkoa wa Homs , Syria na kuuwa watu 5 na kujeruhi wengine 21.
-
Waziri wa Vita: Israel kamwe haitaondoka Ukanda wa Gaza
Dec 26, 2025 08:22Israel Katz Waziri wa Vita wa Israel amesisitiza kuwa Tel Aviv "kamwe haitaondoka " Gaza, na kwamba watajenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kaskazini mwa ukanda huo, hatua ambayo ni kinyume na makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Vita vilivyosambaratisha mustakabali wa watoto wa Ghaza
Dec 26, 2025 05:22Hali ya watoto wa Ukanda wa Ghaza ni ushahidi wa wazi wa janga la kibinadamu na mauaji ya kimbari ya kimfumo yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni kwa muda wa miaka miwili mfululizo mbali na majanga ya kimwili, kisaikolojia, kijamii na kiutamaduni ya wakazi wa ukanda huo. Jinai hizo za Israel zinaendelea hadi hivi sasa kwa sura tofauti.
-
Kwa wiki moja, Israel imesababisha hasara ya dola milioni 7 kwenye mashamba ya Wapalestina
Dec 26, 2025 03:37Wizara ya Kilimo ya Palestina imetangaza kuwa, ndani ya muda wa wiki moja, uvamizi uliofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel na walowezi haramu umeharibu zaidi ya mizeituni 8,000 katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na kusababisha hasara ya karibu dola milioni saba.
-
Kiongozi wa Wakurdi wa SDF: Suluhisho pekee la matatizo ya Syria ni kuwa na serikali ya shirikisho
Dec 26, 2025 03:19Kamanda wa Vikosi vya Kidemokrasia vya Syria (SDF), Mazloum Abdi amesema katika taarifa kwamba suluhisho pekee la matatizo ya Syria ni kuachana na mfumo wa utawala uliopita na kuelekea kwenye serikali ya shirikisho.
-
Hamas yasambaza simulizi ya pili ya kimbunga cha al Aqsa, Muqawama hauwezi kufutwa
Dec 25, 2025 23:54Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa simulizi yake ya pili kuhusiana na Operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa dhidi ya Israel iliyoendeshwa kwa mafanikio Oktoba 7, 2023, ikisisitiza kwamba, Muqawama wa wananchi wa Palestina dhidi ya utawala katili wa Kizayuni hauwezi kusambaratishwa.
-
Al-Sudani apinga vikali uhusiano wa Iraq na Israel
Dec 25, 2025 23:32Waziri Mkuu wa Iraq aliyemaliza muda wake, Mohammed Shi'a al Sudani amepinga vikali uhusiano wa aina yoyote ile baina ya nchi yake na utawala pandikizi wa Israeli, akissisitiza kwamba jambo kama hilo halina nafasi katika muundo wa kisiasa wa Iraq wala katika mfumo wa kisheria wa taifa hilo la Kiarabu.
-
Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni
Dec 25, 2025 09:53Kwa kuendelea kwa uingiliaji kati wa kigeni kushadidi mapigano nchini Syria baina ya makundi yanayomuunga mkono mtawala wa nchi hiyo al-Julani na kundi la Qasad, ukosefu wa usalama utulivu nchini humo umechuukua wigo mpana zaidi.