-
Hizbullah: Israel haiwezi kuchukua hatua ya kijinga kwani inajua gharama yake ni nzito
Jul 13, 2024 23:27Kiongozi wa ngazi za juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Israel inafahamu vyema na kwa hakika kwamba haiwezi kuchukua hatua yoyote ya kijinga na ya kizembe dhidi ya harakati hiyo ya muqawama kwa sababu inaelewa kuwa utawala wa Kizayuni utakula kipigo kikubwa.
-
Hizbullah: Adui anafahamu kwamba, hapaswi kuchukua hatua ya kijinga
Jul 13, 2024 03:40Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni utachukua hatua ya kijinga utalipa gharama kubwa.
-
Kuongezeka vikwazo vya kimataifa dhidi ya utawala haramu wa Israel
Jul 12, 2024 22:44Moja ya hatua za wazi za kuuwekea mashinikizo na kuutenga utawala wa Kizayuni, ambazo zimeshika kasi katika miezi ya hivi karibuni kutokana na kuendelea vita vya umwagaji damu vya utawala huo huko Ghaza, ni kupanuka kwa harakati ya kuisusia Israel katika ngazi za kimataifa.
-
Umoja wa Ulaya wasisitiza udharura wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza
Jul 12, 2024 22:43Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza ni mbaya na isiyovumilika.
-
Makumi ya maiti za raia, nyumba zilizochomwa moto katika mitaa ya Gaza baada ya jeshi la Israel kuondoka Tel Al-Hawa
Jul 12, 2024 08:03Vikosi vya jeshi la Israel vimeondoka katika baadhi ya wilaya za Ukanda wa Gaza usiku wa kuamkia leo baada ya mashambulizi makali ya wiki moja, na kuacha nyuma makumi ya maiti za raia wa Palestina, nyumba na barabara zilizoharibiwa katika eneo kubwa la Tel Al-Hawa.
-
Nasrullah: Kuuawa shahidi 'ni sehemu ya utamaduni wetu ili kulinda mataifa yetu'
Jul 12, 2024 08:02Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah ametilia mkazo wajibu kupambana na kuwa tayari kuuliwa shahidi katika kulinda madola ya Kiislamu dhidi ya uvamizi na kukaliwa kwa mabavu na maadui.
-
Ansarullah: Jinai za Israel ni mtihani hatari kwa jamii ya mwanadamu
Jul 12, 2024 03:41Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Ghaza tangu mwezi Oktoba 2023 ni mtihani hatari mno kwa jamii ya mwanadamu.
-
Sayyid Nasrullah: Magenge ya kigaidi yameundwa na Marekani na Uingereza
Jul 12, 2024 03:17Katibu MKuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa magenge ya kigaidi katika eneo la Asia Magharibi yameundwa na yanaendeshwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani na Uingereza.
-
Ongezeko lisilo na mfano wake la Wazayuni kuhama kinyumenyume kutoka ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
Jul 11, 2024 23:32Vyombo vya habari vya utawala ghasibu wa Israel vimeripoti kutokea ongezeko kubwa la wahajiri wa Kizayuni wanaohama kutoka ardhi zinazokaliwa kwa mabavu huko Palestina kuelekea nchi nyingine za dunia.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Israel inapitia siku mbaya zaidi
Jul 11, 2024 03:31Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema katika hotuba yake kuwa Utawala wa Kizayuni unapitia siku mbaya zaidi za historia yake bandia na kuwa mwishowe utawala huo utalazimika kusimamisha vita huko Ukanda wa Gaza.