-
Mgogoro wa kisaikolojia miongoni mwa wanajeshi wa Israel; Wizara ya Vita ya Israel: Kujiua wanajeshi ni kielelezo cha kushindwa
Nov 13, 2025 22:54Gazeti la Uingereza The Independent, limeashiria ongezeko la kiwango cha kila mwaka cha kujiua katika jeshi la Israel baada ya vita vya Gaza, na kuandika kuwa: "Zaidi ya wanajeshi 11,000 wa Israel wamekumbwa na aina mbalimbali za matatizo ya kisaikolojia baada ya vita hivyo, na takwimu kuhusu wanajeshi wanaojiua baada ya kuondoka jeshini hazijachapishwa."
-
Al-Sudani asema, ataanza kufanya mazungumzo ya kuunda serikali mpya ya Iraq
Nov 13, 2025 08:55Waziri Mkuu wa Iraq Mohammad Shia al-Sudani amesema, ataanza kufanya mazungumzo hivi karibuni kwa ajili ya kuunda serikali mpya wakati muungano wake unaonekana kuongoza katika uchaguzi wa bunge.
-
Ujerumani ni muuzaji mkubwa wa pili wa silaha kwa Israel
Nov 12, 2025 23:07Imeelezwa kuwa, Ujerumani inashika nafasi ya pili duniani kwa kuuuzia silaha utawala haramu wa Israel unaofanya mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina.
-
HAMAS: Silaha za Muqawama haziwezi kujadiliwa kabla ya kuundwa kwanza nchi ya Palestina
Nov 12, 2025 08:40Osama Hamdan, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, amesisitiza kwamba, silaha za Muqawama ni suala lisiloweza kujadiliwa kabla ya kuundwa nchi dola ya Palestina na akabainisha kuwa, lengo la kisiasa la Muqawama litabaki kuwa ni kuikomboa ardhi, kuundwa nchi huru ya Palestina ambayo mji mkuu wake ni Baitul-Muqaddas na kuwepo hakikisho la kurejea wakimbizi.
-
Katibu Mkuu wa UN apongeza uchaguzi wa bunge Iraq, ahimiza kuundwa serikali kwa njia ya amani
Nov 12, 2025 07:42Wakati zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi wa Bunge la Iraq lingali linaendelea, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewapongeza wananchi wa nchi hiyo kwa ushiriki wao katika uchaguzi huo na kuipongeza pia Tume Huru ya Uchaguzi (IHEC) kwa kuendelesha zoezi hilo kwa ufanisi.
-
Ni yepi matokeo ya kujiuzulu waziri wa mikakati wa utawala wa Kizayuni?
Nov 12, 2025 05:16Waziri wa masuala ya mikakati wa utawala wa Kizayuni na ambaye ni mtu wa karibu na waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, amejiuzulu. Ron Dermer, ametangaza kujiuzulu kwa kumtumia barua rasmi Netanyahu.
-
Hamas: Kumbukumbu ya kuuawa Arafat ni kielelezo cha mwendelezo wa uhalifu wa Israel
Nov 12, 2025 02:32Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba maadhimisho ya kumbukumbu ya siku ya kuuawa Rais wa zamani wa Palestina, Yasser Arafat, yanatukumbusha kwamba "uhalifu wa kuzingirwa uliomlenga Arafat bado unaendelea dhidi ya watu wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa Gaza."
-
Hizbullah yasema silaha ni muhimu kwa ulinzi wa Lebanon, haitasalimu amri kwa Marekani au Israel
Nov 12, 2025 01:54Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwamba wito wa Marekani na Israel wa kupokonya silaha kundi hilo la mapambano na muqawama unakusudiwa kuidhoofisha Lebanon na kuiacha ikikabiliwa na uvamizi wa kigeni.
-
Hamas yalaani mswada wa kifashisti na kikatili wa Bunge la Israel wa kuwanyonga Wapalestina
Nov 11, 2025 23:02Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Wapalestina, Hamas, imelaani vikali hatua ya Bunge la Israel (Knesset) kupitisha kwa mara ya kwanza mswada unaoruhusu kunyongwa kwa Wapalestina waliotekwa, ikikitaja kama mwendelezo wa sera za kibaguzi na jinai za utawala wa Kizayuni.
-
WHO: Zaidi ya wagonjwa 16,000 huko Gaza wanasubiri kupelekwa nje kwa ajili ya matibabu
Nov 11, 2025 07:15Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa wagonjwa wasiopungua 16,500 katika Ukanda wa Gaza wanasubiri kupelekwa nje kwa ajili ya matibabu na kusisitiza kuwa suhula zake za tiba ziko tayari mpakani lakini haziwezi kuingia katika eneo hilo kufuatia Israel kufunga vivuko hivyo.