-
Ansarullah: Adui Mzayuni anafanya jinai mbele ya macho ya walimwengu
Oct 26, 2023 23:02Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen akizungumzia mashambulizi ya mara kwa mara ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina amesisitiza kuwa, adui Mzayuni anafanya jinai mbele ya macho ya walimwengu.
-
Pyongyang: Israel imefanya jinai ya kivita kwa kushambulia hospitali Gaza
Oct 26, 2023 23:00Korea Kaskazini imelaani vikali shambulio la anga lililofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya Hospitali ya Al Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 17 na kuua mamia ya wananchi wa Paalestina.
-
Idadi ya Wapalestina waliouawa Gaza yapindukia 7000
Oct 26, 2023 09:41Ofisi ya Habari ya serikali huko Gaza Palestina imetangaza kuwa, idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi tangu utawala haramu wa Israel ulipoanza kufanya mashambulio ya anga katika Ukanda wa Gaza imepindukia 7000 huku makumi ya maelfu ya wengine wakiwa wamejeruhiwa au kutoweka.
-
Brigedi za Qassam zatungua helikopta ya Israel Ukanda wa Gaza
Oct 26, 2023 08:53Brigedi za Izzuddin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza habari ya kufanikiwa kutungua helikopta ya utawala haramu wa Israel, ikiwa ni kuendelea kujibu jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Erdogan: HAMAS si kundi la magaidi, bali wapigania ukombozi
Oct 26, 2023 08:53Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amefuta safari yake ya kuzitembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel na kusisitiza kuwa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS si kundi la magaidi, bali ni kundi la wapigania ukombozi.
-
Kiongozi wa HAMAS apongeza msimamo wa Russia na China wa kupigia veto azimio la Marekani
Oct 26, 2023 03:31Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amepongeza msimamo ulioonyeshwa na Russia na China katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na hatua hayo ya kulipigia kura ya turufu azimio lililopendekezwa na Marekani la kuuunga mkono utawala vamizi wa Kizayuni unaokalia ardhi kwa mabavu.
-
WFP yaonya kuhusu tishio kwa maisha ya watu wa Gaza
Oct 25, 2023 11:41Shirika la Mpango wa Chakula Duniani limeonya kuhusu tishio linalokabili maisha ya watu wa Gaza.
-
Israel yafyata mkia, yasema haitaki kuingia vitani na Hizbullah
Oct 25, 2023 04:06Rais Isaac Herzog wa Israel amedai kuwa, utawala huo wa Kizayuni hauna azma ya kuingia vitani na Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon katika upande wa kaskazini, siku chache baada ya viongozi wa Marekani kuwatahadharisha watawala wa Israel kuhusu ugumu na hatari ya kuendesha vita viwili kwa wakati mmoja; upande wa kusini na Harakati ya Hamas ya Palestina na upande wa kaskazini na harakati yenye nguvu kubwa ya kijeshi, Hizbullah.
-
Makomando maalumu wa Marekani na Isreal wauawa na Hamas walipojaribu kuingia Ghaza
Oct 25, 2023 03:24Kikosi maalum cha Marekani na Israel, kiliangamizwa na wanamapambano wa Hamas wakati kilipojaribu kupenya na kuingia katika Ukanda wa Ghaza ili kubaini eneo wanaloshikiliwa mateka wa Isreal.
-
Guterres: Nina wasiwasi mkubwa kuhusu ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa huko Gaza
Oct 24, 2023 23:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema: Hali katika Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) inazidi kuwa mbaya na huenda vita vya Gaza vikaenea katika eneo hilo.