-
Hamas: Mpango wa Trump 'hauna mpango', hauna dhamana
Sep 29, 2025 23:26Rais wa Marekani ambaye ndiye chanzo kikuu cha mauaji ya umati huko Ghaza kwa uungaji mkono wake wa hali ya juu kwa utawala wa Kizayuni, kwa mara nyingine tena amejifanya eti anataka kukomeshwa vita Ghaza, sambamba na kuiunga mkono kikamilifu Israel. HAMAS imepinga mpango huo ikisisitiza kuwa hauna jipya na hauna dhamana yoyote ya kutekelezwa.
-
Israel yasitisha huduma uwanja wa ndege wa Tel Aviv kufuatia mashambulizi ya Yemen
Sep 29, 2025 23:00Uwanja wa ndege mkuu wa Israel umesimamisha kwa muda safari za ndege baada ya jeshi la Yemen kufanya operesheni maalumu ya shambulizi kwa kutumia kombora la 'hypersonic' aina ya Palestina 2 na ndege zisizo na rubani dhidi ya miji ya Tel Aviv na Eilat ya utawala wa kizayuni wa Israel.
-
HAMAS: Tony Blair 'ndugu wa shetani' ni wa kupandishwa kizimbani, si wa kuiongoza Ghaza
Sep 29, 2025 07:16Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mpango ulioripotiwa kuwa umeandaliwa na Marekani wa kumteua waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair awe liwali wa Ukanda wa Ghaza, na kusisitiza kwamba watu wa Palestina wanao uwezo wa kusimamia mambo yao wenyewe.
-
Yemen yafanya shambulio la aina yake la kombora la 'Hypersonic' Tel Aviv, lawatimua wazayuni
Sep 29, 2025 07:15Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Yemen Brigedia Jenerali Yahya Saree amesema, jeshi la nchi hiyo limefanya operesheni maalumu ya shambulizi kwa kutumia kombora la 'hypersonic' aina ya Palestina 2 ndege zisizo na rubani dhidi ya miji ya Tel Aviv na Eilat ya utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Ripoti: Theluthi moja ya watoto wa Gaza hawali chakula kila siku
Sep 29, 2025 03:51Shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza kuwa, theluthi moja ya watoto huko Gaza hawapati chakula cha kutosha cha kula kwa siku.
-
Hamas: Hatujapokea mapendekezo yoyote mapya kutoka kwa wapatanishi
Sep 28, 2025 22:48Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuwa, haijapokea mapendekezo yoyote mapya kutoka kwa wapatanishi na iko tayari kuzingatia mapendekezo yatakayotolewa kama yatakuwa na maana ya kuzingatiwa na kama yatakuwa na nguvu za uwajibikaji.
-
Vipi Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limefikia natija ya kufanyika mauaji ya kimbari huko Gaza?
Sep 28, 2025 22:46Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetangaza hatua za Israel huko Gaza kuwa ni mfano wa kisheria wa "mauaji ya halaiki."
-
Abdulmalik al Houthi: Nasrallah bado ni jinamizi kwa Israel
Sep 28, 2025 03:33Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdulmalik al-Houthi amesemam kuwa kiongozi wa muqawama wa Lebanon shahidi Sayyid Hassan Nasrallah bado ni jinamizi kwa Israel ingawa aliuawa na utawala huo mwaka mmoja uliopita.
-
Sheikh Naim Qassem: Kama alivyokuwa Shahidi Nasrullah hatutaweka chini katu silaha za Muqawama
Sep 28, 2025 00:05Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amehutubia mjini Beirut maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Sayyid Hashem Safiyyuddin na kumhutubu Shahidi Nasrullah kwa kusema: "Ewe Nasrullah, kama ulivyotufunza, hatutaziacha katu silaha za Muqawama."
-
Wapalestina wengine 40 wauawa na Israel katika Ukanda wa Gaza
Sep 27, 2025 23:00Kwa akali Wapalestina 40 wameuawa shahidi katika Ukanda wa Gaza tangu alfajiri ya Jumamosi.