-
Hamas yapongeza 'ujasiri' wa mawaziri wa Uholanzi kujiuzulu juu ya Gaza
Aug 24, 2025 23:27Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imepongeza hatua ya kujiuzulu mawaziri kadhaa wa Uholanzi, akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Caspar Veldkamp, kujibu hatua ya kukataa kwa serikali yao kuiwekea vikwazo Israel. Hamas imetaja kujiuzulu huko kama uamuzi wa kijasiri na wa kimaadili.
-
Jaribio la Wazayuni la kumuua kigaidi Mkuu wa Majeshi ya Yemen lagonga mwamba
Aug 24, 2025 23:00Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti habari ya kufeli jaribio la utawala haramu wa Israel la kumuua Mkuu wa Majeshi ya Yemen, kwa mara ya pili sasa.
-
WHO: Zaidi ya watu 15,600 wakiwemo watoto 3,800 wanahitaji kuondolewa haraka Gaza kwa ajili ya matibabu
Aug 24, 2025 08:23Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameeleza kuwa watu zaidi ya 15,600 katika Ukanda wa Gaza, wakiwemo watoto 3,800, wanahitaji kuondolewa haraka katika eneo hilo lililokumbwa na vita ili kupata huduma maalumu ya matibabu.
-
Mkuu wa UNRWA: Nchi zenye ushawishi zichukue hatua dhidi ya Israel kuhusu baa la njaa Gaza
Aug 24, 2025 04:27Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi wa Palestina (UNRWA) Jumamosi ameutaka utawala wa Israel uwajibike kuhusu kusababisha baa la njaa katika Ukanda wa Gaza huku akitoa wito kwa mataifa yenye ushawishi kuchukua hatua mara moja kumaliza mzozo huo.
-
Askari wa Israel wamuua kamanda wao huko Gaza
Aug 24, 2025 04:17Mabomu yaliyotegwa na askari wa kikosi kimoja cha jeshi la Israel ili kuwaua Wapalestina yamemuangamiza kamanda wa kikosi hicho mwenyewe kusini mwa Gaza.
-
Wanaharakati Brazili wataka kukomeshwa vita vya Gaza, uhusiano na Israel
Aug 23, 2025 23:27Vyama vya mrengo wa kushoto, wanaharakati wa haki za binadamu, na waungaji mkono Palestina nchini Brazil wameandamana na kutoa mwito wa kukomeshwa vita vya Gaza na kukata uhusiano na utawala ghasibu wa Israel.
-
Walimwengu wazidi kulaani mpango wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi wa E1
Aug 23, 2025 23:27Walimwengu Wameendelea kulaani mpango mpya wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaojulikana kama E1.
-
Mwanasoka mwingine wa Palestina auawa na Israel, FIFA yaendelea kuwa kimya
Aug 23, 2025 23:26Mchezaji mwingine wa soka Palestina ameuawa shahidi na jeshi la utawala ghasibu wa Israel akiwa katika safu ya chakula cha msaada huku Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) likiendelea kukaa kimya.
-
Baa la njaa lashadidi Ghaza, Wapalestina waliouliwa shahidi na jeshi la kizayuni wakaribia 62,300
Aug 23, 2025 07:29Wizara ya Afya ya Palestina imeeleza katika takwimu zake za hivi karibuni kwamba, Wapalestina wasiopungua 62,263 wameuawa shahidi katika vita vya mauaji ya kimbari vilivyoanzishwa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 2023.
-
Kashfa kubwa ya utawala wa Kizayuni: Israel, kituo kikubwa zaidi cha biashara ya dawa za kulevya barani Ulaya
Aug 23, 2025 06:09Kwa mujibu wa ripoti ya kituo cha runinga cha Israel, Channel 12, Israel inazidi kuwa kitovu kikuu cha biashara ya dawa za kulevya kuelekea katika nchi za Ulaya.