-
Yaelezwa kuwa kinara mpya wa Daesh (ISIS) amepenya nchini Iraq kwa msaada wa Marekani
Apr 20, 2020 12:55Chanzo kimoja cha usalama nchini Iraq kimesema kuwa, kwa mujibu wa taarifa za kiintelejensia zilizopatikana, Abu Ibrahim al-Hashimi al-Qurashi, kiongozi mpya wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) amepenya nchini humo kwa msaada wa askari magaidi wa Marekani.
-
Tamko la Kamisheni ya Haki za Binadamu ya OIC la kulaani ukatili wanaozidi kufanyiwa Waislamu wa India
Apr 20, 2020 08:23Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu wa India sambamba na kuenea maambukizo ya virusi vya corona vya COVID-19 nchini humo.
-
Ulazima wa kuachiliwa maelfu ya mateka Wapalestina wanaoshikiliwa na utawala wa Kizayuni
Apr 20, 2020 03:24Makao makuu ya kudumu ya Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu , Bunge la Iran, imetoa taarifa kwa mnasaba wa 'Siku ya Mateka Wapalestina', na kusisitiza ulazima wa kuachiliwa bila masharti mateka 5000 wa Palestina wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Utawala haramu wa Kizayuni na mkosi wa jina 'Netanyahu'
Apr 19, 2020 04:57Duru za habari za utawala haramua wa Kizayuni zinasema kwamba Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala huo ametishia kwa njia isiyo ya moja kwa moja kwamba iwapo mahakama itamuuzulu kwenye nafasi yake hiyo, basi atachochea uasi wa mitaani.
-
Mamluki wa Saudia na Imarati watishiana vita Yemen
Apr 19, 2020 03:14Kundi la watu wanaopigania kujitenga kusini mwa Yemen linaloungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu limetoa onyo kali la kuingia vitani na mamluki wa Saudi Arabia, huku migawanyiko baina ya pande mbili hizo ikiendelea kupanuka.
-
Harakati ya Jihad Islami ya Palestina yasisitiza kuendelea kuwatetea mateka Wapalestina
Apr 18, 2020 07:17Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imesisitiza kuwa itaendelea kutekeleza majukumu yake ya kuwatetea mateka Wapalestina wanaoshikiliwa na utawala wa Kizayuni wa Israel ili hatimaye waachiliwe huru.
-
Ripoti: Mamia ya Wanawafalme Saudia wanaugua corona
Apr 18, 2020 07:09Kuna idadi kubwa ya wanawafalme katika Ufalme wa Saudi Arabia ambao wanaugua ugonjwa wa corona au COVID-19, na idadi yao kamili ni kubwa kuliko ile inayotangazwa na vyombo husika.
-
Baraza la Usalama lataka kusitishwa vita mara moja huko Yemen
Apr 18, 2020 03:23Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeunga mkono pendekezo la Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa la kusitishwa vita mara moja nchini Yemen.
-
Yemen: Tutaendelea kupambana kiume na majeshi vamizi ya Saudi Arabia
Apr 17, 2020 20:12Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Yemen amesisitiza kuwa, jeshi la nchi hiyo hiyo likishirikiana na kamati za kujitolea za wananchi litaendelea kusimama kidete mbele ya mashambulio ya majeshi vamizi ya muungano unaoongozwa na Saudi Arabia.
-
Aprili 17 na jinai zinazokaririwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya mateka wa Kipalestina
Apr 17, 2020 20:10Kufuatia kuibuka ugonjwa wa corona katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel), utawala wa Kizayuni wa Israel ungali unaendeleza jinai dhidi ya mateka wa Kipalestina.