-
Nchi 21 zapinga ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Israel katika Ukingo wa Magharibi
Aug 23, 2025 00:22Duru za habari zimeripoti kuwa, nchi 21 zimetoa taarifa na kulaani uamuzi wa utawala wa Israel wa kujenga vitongoji vipya vya walowezi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kusema kuwa haukubaliki.
-
Imefichuka kupitia taarifa za siri za jeshi la Israel: 83% ya waliouawa Ghaza ni raia wa kawaida
Aug 22, 2025 06:34Taarifa za siri za jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel zilizovuja zinaonyesha kuwa watu watano kati ya sita waliouliwa na jeshi hilo katika Ukanda wa Ghaza ni raia wa kawaida.
-
Hamas yaonya: Israel haitafikia malengo yake Ukanda wa Gaza
Aug 21, 2025 03:01Utawala wa Israel umeanza kupeleka vikosi vya jeshi lake kwenye viunga vya Jiji la Gaza kwa ajili ya kuanza kutekeleza mpango wake wa kukalia kwa mabavu eneo hilo kubwa zaidi la Ukanda wa Gaza, lakini Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeonya kuwa, Tel Aviv itashindwa kutimiza malengo yake.
-
Israel inapanga njama ya kuwafukuza Wapalestina milioni moja Gaza
Aug 20, 2025 23:33Utawala wa Israel umeanzisha “Kitengo cha Kuhamisha Watu” ili kupanga njama kwa makin kwa lengo la kuwafukuza Wapalestina kutoka Jiji la Gaza kupitia kampeni ya mabango, ujumbe mfupi wa simu, na mizinga, kulingana na vyombo vya habari vya utawala huo ghasibu.
-
Watoto wangapi wanapoteza maisha kila siku huko Gaza?
Aug 20, 2025 03:11Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza vifo vya kila siku vinavyowakumba wataoto wa Ukanda wa Gaza.
-
Israel imeua wafanyakazi 360 wa Umoja wa Mataifa katika vita vya mauaji ya kimbari Gaza
Aug 19, 2025 23:54Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Kazi kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limewaenzi wafanyakazi wake walioko mstari wa mbele katika Ukanda wa Gaza, likifichua kuwa karibu wafanyakazi 360 wa UNRWA wameuawa katika operesheni ya mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Marekani kuondoa wanajeshi wake Iraq kufikia mwisho wa Septemba
Aug 19, 2025 22:56Wairaqi kutoka makundi na mirengo mbalimbali wamekuwa wakingoja kwa hamu kuondoka kikamilifu kwa majeshi ya Marekani nchini humo na sasa imebainika kuwa wataondoka mwisho wa Septemba.
-
Hamas yapasisha pendekezo la Qatar na Misri la kuhitimisha vita vya Israel dhidi ya Gaza
Aug 19, 2025 08:06Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema kuwa imepasisha pendekezo jipya la Qatar na Misri la kuhitimisha vita vya mauaji ya kimbari vya Israel katika Ukanda wa Gaza
-
Ripoti: Israel imepatwa na mshtuko wa kiuchumi wa vita na Iran
Aug 19, 2025 08:04Ripoti ya vyombo vya habari vya Israel imefichua changamoto zinazoukabili utawala huo baada ya vita vya siku 12 na Iran mwezi Juni mwaka huu,na kubainisha kuwa uchumi wa Israel umedorora sana, na kushuka kwa viashiria vya jumla, ikiwa ni pamoja na kupungua kwa pato la taifa (GDP), uwezo wa manunuzi na uwekezaji.
-
Utapiamlo, si Leukemia: Madaktari wa Italia wapinga madai ya Israeli kuhusu kifo cha mwanamke Mpalestina
Aug 19, 2025 08:04Madaktari wa Italia wamehoji madai yaliyotolewa na utawala wa Israel kwamba mwanamke Mpalestina ameaga dunia kwa ugonjwa wa Leukemia; na badala yake wamesema mwanamke huyo Mpalestina amepoteza maisha kutokana na utapiamlo mkali baada ya kuwasili Italia akitokea Gaza.