-
Russia yakadhibisha madai ya Axios kuhusu urutubishaji urani wa Iran
Jul 13, 2025 23:24Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema madai ya tovuti ya habari ya Marekani ya Axios kwamba Rais Vladimir Putin wa Russia ameiomba Iran isirutubishe madini ya uranium kuwa "kampeni chafu ya kisiasa" .
-
Putin: Migongano kati ya Russia na Magharibi haihusiani na idiolojia
Jul 13, 2025 12:58Rais Vladimir Putin wa Russia amesema malengo ya kiukiritimba ya mataifa ya Magharibi na kutupilia mbali kwao wasiwasi wa kiusalama wa nchi yake ndivyo vilivyosababisha mzozo unaoendelea hivi sasa kati ya Moscow na Magharibi.
-
Euro-Med: Trump afunguliwe mashitaka kwa mauaji ya Wapalestina wanaotafuta misaada
Jul 13, 2025 10:36Kituo cha Euro-Mediterranean Human Rights Monitor kimeikashifu taasisi ya Gaza Humanitarian Foundation (GHF), inayofadhiliwa na Marekani pamoka na utawala haramu wa Israel, kwa mashambulizi ya mara kwa mara na yenye umwagaji damu dhidi ya raia wenye njaa wanaokusanyika kupokea misaada katika Ukanda wa Gaza, kikitoa wito wa kusitishwa haraka shughuli zote za GHF.
-
Kwa nini Trump amemwekea vikwazo Rais wa Cuba?
Jul 13, 2025 10:30Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza vikwazo vipya vya fedha dhidi ya Rais wa Cuba Miguel Díaz-Canel na maafisa wengine waandamizi wa nchi hiyo pamoja na marufuku ya usafiri kwa kisingizio cha kukandamiza maandamano ya amani yaliyofanyika mwaka 2021.
-
Mashabiki wa Glasgow Rangers wampinga mshambuliaji Muisraeli kuingia timu hiyo kutokana na mauaji ya kimbari Gaza
Jul 13, 2025 10:11Mashabiki wa Klabu ya Soka ya Glasgow Rangers huko Uskochi, Uingereza, wameanzisha kampeni kubwa ya kuzuia kusajiliwa kwa mshambuliaji kutoka Israel, kama njia ya kupinga vita vya muda mrefu vya mauaji ya kimbari vinavyotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina wanaoishi Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
-
Jibu la suali la leo; kwa nini Albanese anasema hakuna tena mistari myekundu baada ya yeye kuwekewa vikwazo na Marekani?
Jul 13, 2025 04:28Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, ametangaza kwamba uamuzi wa Marekani wa kumuwekea vikwazo unaonyesha kuwa hakuna tena mstari mwekundu wowote.
-
Polisi UK yakamata makumi ya watu kwa kushiriki maandamano ya kuiunga mkono Palestina
Jul 13, 2025 03:36Polisi wa Uingereza imewakamata makumi ya wanaharakati wanaoiunga mkono Palestina wakati wa maandamano mapya ya kupinga marufuku ya vuguvugu la 'Palestine Action', kundi linalojulikana kwa maandamano yake dhidi ya makampuni ya silaha yenye uhusiano na Israel.
-
Trump ashadidisha vita vya kibiashara dhidi ya Mexico, EU
Jul 13, 2025 02:34Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuziwekea bidhaa zinazoingia nchini humo kutoka Mexico na Umoja wa Ulaya ushuru wa asilimia 30 kuanzia Agosti Mosi.
-
Russia yaonya US, waitifaki: Msiitishie Russia na Korea Kaskazini
Jul 12, 2025 13:15Moscow imeionya Marekani na waitifaki wake dhidi ya kuzitishia Russia na Korea Kaskazini.
-
Wabunge 60 wa UK waitaka London ilitambue taifa la Palestina
Jul 12, 2025 12:50Kufuatia mpango tata wa Israel wa kuwahamisha kwa nguvu wakazi wa Gaza na kuwapeleka Rafah, takriban wabunge 60 wa Uingereza wameitaka serikali ya London kulitambua rasmi taifa la Palestina.