-
Trump auza viti vya 'Bodi ya Amani' Gaza dola bilioni 1
Jan 18, 2026 10:24Rais wa Marekani, Donald Trump amezitaka nchi mbali mbali duniani zilipe angalau dola bilioni 1 ili kusalia katika "Bodi ya Amani" ya Gaza, baada ya kumalizika muhula ulioanishwa wa miaka mitatu.
-
Wananchi Pakistan, Iraq waandamana kuiunga mkono Iran, Kiongozi Muadhamu
Jan 18, 2026 07:04Wananchi katika nchi za Pakistani na Iraq wamefanya maandamano kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mbele ya vitendo vya kigaidi vya hivi karibuni vilivyofadhiliwa na Marekani, Israel na madola mengine ya kibeberu.
-
NGOs za Uingereza zaitaka serikali kusitisha mauzo yote ya silaha kwa utawala wa Israel
Jan 18, 2026 02:37Muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali ya Uingereza (NGOs) umeitaka serikali ya nchi hiyo kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Israel, na kuonya kuwa silaha zinazotengenezwa Uingereza ziko hatarini kutumika katika mauaji ya kimbari na kuzidi kumomonyoa sheria za kimataifa.
-
Uwezekano wa Marekani kuishambulia Mexico na nchi nyingine za Amerika Kusini
Jan 17, 2026 09:53Kufuatia kuongezeka vitisho vya Rais Donald Trump dhidi ya Mexico, maafisa wa Wizara ya Vita ya Marekani wametangaza kuwa uwezekano wa kufanyika operesheni za kijeshi nchini Mexico umeongezeka.
-
Marekani yaitengea Israel dola bilioni 3.3 nyingine za kufanyia jinai duniani
Jan 17, 2026 08:56Bunge la Marekani limepasisha muswada wa dola bilioni 3.3 kwa ajili ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao hivi sasa dunia nzima inalaani jinai zake kubwa katika maeneo tofauti hasa huko Palestina na hususan katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kwa nini Wamarekani waliowengi wanapinga wazo la Marekani kuimiliki Greenland?
Jan 16, 2026 15:20Utafiti mpya wa maoni unaonyesha kuwa Wamarekani wengi wanapinga vikali wazo la kuihodhi Greenland.
-
Iran, China na Russia zailaani Marekani kwa ghasia za karibuni nchini Iran
Jan 16, 2026 07:19Gholamhossein Darzi, Naibu Mwaklishi wa Kudumu wa Iran Umoja wa Mataifa ameikosoa vikali Marekani katika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ghasia na machafuko yaliyoungwa mkono na nchi ajinabi dhidi ya Iran.
-
Russia: Badala ya Ulaya kuzungumzia hali ya Iran ifuatilie kuiokoa Greenland
Jan 15, 2026 10:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amesema, badala ya viongozi wa Umoja wa Ulaya, EU kutoa matamshi ya kuzungumzia hali ya Iran, ingekuwa bora kama wanegejikita kushughulikia kadhia ya Greenland, ambayo sasa hivi Marekani inafanya juu chini kuitia mkononi.
-
Trump amtukana tusi la nguoni mfanyakazi wa Ford kwa kuitwa 'mlindaji wa mharibifu wa watoto'
Jan 15, 2026 10:26Rais wa Marekani Donald Trump ameonekana kwenye mkanda wa video akimtukana tusi la nguoni mfanyakazi mmoja wa kampuni ya magari ya Ford Motor aliyemkosoa kiuchokozi wakati alipotembelea kiwanda kimoja cha kampuni hiyo kilichoko karibu na mji wa Detroit.
-
Wabunge wa Uingereza watoa wito wa kufukuzwa Marekani katika mashindano ya Kombe la Dunia 2026
Jan 15, 2026 07:46Wabunge wapatao ishirini wa Bunge la Uingereza wamelitaka Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuiondoa Marekani katika fainali za Kombe la Dunia 2026, licha ya kuwa mwenyeji mkuu, kwa sababu ya mienendo ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na ukiukaji wake wa mamlaka ya nchi huru.