Dunia
  • Biden ajitoa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa Marekani

    Biden ajitoa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa Marekani

    Jul 22, 2024 22:53

    Hatimaye, Joe Biden, Rais wa Kidemokrati wa Marekani mwenye umri wa miaka 81, amejiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa nchi hiyo baada ya mijadala mingi kuhusu kugombea kwake katika uchaguzi wa Novemba 5 mwaka huu, na kumuunga mkono Kamala Harris, makamu wake kama mgombea wa kiti hicho.

  • Republican: Biden ni punguani, asiachiwe kitufe cha silaha za nyuklia

    Republican: Biden ni punguani, asiachiwe kitufe cha silaha za nyuklia

    Jul 22, 2024 07:27

    Muda mfupi baada ya Rais Joe Biden wa Marekani kutangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kutetea kiti chake cha urais, viongozi waandamizi wa chama cha Republican wamesema mwanasiasa huyo mwenye miaka 81 hapasi kuachiwa nywila (kodi) za kitufe cha silaha za nyuklia kutokana na matatizo ya kisaikolojia yanayomsumbua.

  • Mauaji ya kimbari ya Israel yalaaniwa katika Bunge la Ubelgiji

    Mauaji ya kimbari ya Israel yalaaniwa katika Bunge la Ubelgiji

    Jul 22, 2024 03:48

    Mwakilishi wa Bunge la Ubelgiji amelaani hadharani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na mauaji ya kimbari ya utawala huo ghasibu katika Ukanda wa Gaza.

  • Mahakama ya Bangladesh yaondoa sheria ilioibua maandamano ya nchi nzima

    Mahakama ya Bangladesh yaondoa sheria ilioibua maandamano ya nchi nzima

    Jul 22, 2024 03:45

    Hatimaye Mahakama ya Bangladesh imeondoa sheria yenye utata ya ajira ambayo iliibua maandamando ya nchi nzima na kusababisha makumi ya watu kuuawa katika makabiliano yao na polisi.

  • Waandaaji: Maandalizi ya michezo ya Olimpiki Paris yamekamilika

    Waandaaji: Maandalizi ya michezo ya Olimpiki Paris yamekamilika

    Jul 22, 2024 03:44

    Rais wa kamati ya maandalizi ya Olimpiki ya Paris Tony Estanguet amesema kuwa, mji huo uko tayari kwa Michezo hiyo huku akipuuza malalamiko kutoka kwa baadhi ya wakaazi na wafanyabiashara kuhusu athari za tamasha hilo la kimataifa.

  • Joe Biden ajitoa kwenye kinyang'anyiro cha Urais

    Joe Biden ajitoa kwenye kinyang'anyiro cha Urais

    Jul 21, 2024 23:23

    Rais Joe Biden wa Marekani ametangaza kujitoa katika mbio za kutetea kiti chake cha urais baada ya kuongezeka mashinikizo ya kumtaka ajiondoe kutokana na sababu mbalimbali likiwemo suala la afya na uwezo wake wa kukumbuka mambo.

  •  EU yaunga mkono uamuzi wa ICJ kuhusu uvamizi haramu wa Israel huko Palestina

    EU yaunga mkono uamuzi wa ICJ kuhusu uvamizi haramu wa Israel huko Palestina

    Jul 21, 2024 04:22

    Mahakama ya juu ya Umoja wa Mataifa imeamua kwamba ukaliaji wa mabavu wa miaka 57 wa utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Wapalestina ni kinyume cha sheria, uamuzi ambao Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, amesema unakaribiana na misimamo ya Umoja wa Ulaya (EU).

  • Marekani na Ujerumani; Wauzaji silaha wakuu kwa utawala katili wa Israeli

    Marekani na Ujerumani; Wauzaji silaha wakuu kwa utawala katili wa Israeli

    Jul 21, 2024 03:55

    Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imetangaza katika ripoti yake kwamba kati ya asilimia 99 ya silaha zilizoagizwa na utawala wa Israel unaofanya mauaji ya kimbari huko Ukanda wa Gaza kati ya mwaka 2019 na 2023, asilimia 69 ilitoka Marekani na asilimia nyingine 30 kutoka Ujerumani.

  • Blinken: Kujiondoa JCPOA ni katika makosa makubwa ya Marekani

    Blinken: Kujiondoa JCPOA ni katika makosa makubwa ya Marekani

    Jul 21, 2024 03:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekiri bayana kuwa, hatua ya nchi hiyo ya kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni moja ya makosa makubwa zaidi yaliyowahi kufanywa na Washington katika miaka ya hivi karibuni.