-
Kwa nini Macron anaamini kuwa G20 inakaribia kuporomoka?
Nov 24, 2025 04:24Katika ufunguzi wa mkutano wa kilele wa G20 mjini Johannesburg, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alisema katika hotuba isiyo ya kawaida kuwa kundi hilo limepoteza uwezo wake wa kutatua migogoro ya kimataifa.
-
Kumbukumbu ya Uhalifu wa Magharibi - Wounded Knee Massacre; Mauaji ya Wahindi Wekundu huko South Dakota, 1890
Nov 23, 2025 23:49Mauaji makubwa ya Wounded Knee Massacre hapo 1890 huko South Dakota, Marekani, yalikuwa mojawapo ya ukatili wa umwagaji damu mkubwa zaidi dhidi ya Wahindi Wekundu katika historia ya Marekani, ambayo yalisababisha mauaji ya mamia ya watu wa jamii ya Lakota na kukomesha mapambano yao makubwa katika karne ya 19.
-
Sera za vikwazo dhidi ya Cuba: Mfano wa mbinu ya mabavu ya Washington katika kuamiliana na nchi nyingine
Nov 23, 2025 10:46Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa vikwazo vya Marekani vimeifanya hali ya kibinadamu nchini Cuba kuwa mbaya sana na ametaka kuondolewa haraka vikwazo hivyo.
-
Venezuela: Tutatoa jibu kali kwa uvamizi wowote wa Marekani dhidi yetu
Nov 23, 2025 08:35Waziri wa Ulinzi wa Venezuela amesema kuwa, nchi yake imesimama kidete dhidi ya vitisho vyote vya hivi karibuni vya kijeshi vya Marekani.
-
Ripoti: Hujuma dhidi ya Misikiti Uholanzi zimeongezeka
Nov 23, 2025 08:35Ripoti mpya imeonesha kuwa matukio ya vurugu na hujuma dhidi ya misikiti nchini Uholanzi yameongezeka kwa kiwango kikubwa katika kipindi cha muongo mmoja uliopita. Hayo ni kwa mujibu wa utafiti wa mtandao wa misikiti K9.
-
Marekani yabatilisha viza ya waziri wa zamani wa Afrika Kusini aliyefanikisha kesi ya ICJ dhidi ya Israel
Nov 23, 2025 03:31Marekani imefuta viza ya waziri wa zamani wa Mahusiano ya Kimataifa wa Afrika Kusini Naledi Pandor mapema wiki hii, katika kile kinachoonekana kama hatua za hivi karibuni za Washington za kuiadhibu Pretoria kwa sababu kuuburuza utawala wa kizayuni wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kwa mauaji ya kimbari uliyofanya dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Katika mkutano na Trump, Mamdani azungumzia US inavyofadhili mauaji ya kimbari Ghaza
Nov 23, 2025 03:02Zohran Mamdani, Meya mpya mteule wa Jiji la New York, amezungumzia suala la ufadhili wa Marekani kwa vita vya mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, katika mkutano aliofanya na rais wa Marekani Donald Trump Ikulu ya White House.
-
Ulaya yazungumza na Zelensky kumshawishi asikubali mpango wa Trump
Nov 22, 2025 08:06Duru za habari zimeripoti kuwa, Kansela wa Ujerumani, Rais wa Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza wamefanya mazungumzo ya simu na kujadiliana mpango mpya wa amani wa serikali ya Marekani katika kadhia ya Ukraine na kujaribu kumzuia Zelensky asiukubali mpango huo wa Trump.
-
Idadi ya kaya masikini nchini Ujerumani imeongezeka
Nov 22, 2025 03:45Matokeo ya uchunguzi yanaonesha kuwa idadi ya kaya maskini nchini Ujerumani inaongezeka na kukosekana kwa usawa wa kipato kumeongezeka hadi kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa, na hivyo kusababisha hali ya kutoaminiana katika nyanja za kisiasa.
-
Cuba: Marekani inataka kuivamia kijeshi Venezuela kwa visingizio vya uongo
Nov 22, 2025 03:44Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Cuba amelaani vikali hatua za Marekani za kuhalalisha uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela.