-
Kremlin: Jibu la Russia kwa shambulio lolote ndani ya ardhi yake litakuwa la maangamizi
Oct 26, 2025 23:50Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, ameonya kwamba iwapo kutatokea shambulio lolote la Ukraine ndani kabisa ya eneo la Russia, vikosi vya jeshi la nchi hiyo vitatoa jibu la maangamizi.
-
Russia yazindua kombora jipya linalotumia fueli ya nyuklia
Oct 26, 2025 08:31Rais Vladimir Putin wa Russia amezindua kombora jipya linalotumia fueli na mafuta ya nyuklia linaloitwa Burevestnik wakati wa kukagua kituo cha mstari wa mbele cha vita vinavyoendelea kati ya Russia na Ukraine
-
Muungaji mkono Palestina achaguliwa kuwa rais wa Ireland
Oct 26, 2025 04:34Bi. Catherine Connolly, mgombea wa mrengo wa kushoto katika uchaguzi wa urais nchini Ireland ambaye anajulikana kwa misimamo yake ya kuunga mkono Palestina, ameibuka mshindi katika uchaguzi huo.
-
Rais wa Brazil akosoa Umoja wa Mataifa kwa kushindwa kuzuia mauaji ya kimbari Gaza
Oct 26, 2025 01:13Rais wa Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva, ameukosoa Umoja wa Mataifa na taasisi za kimataifa kwa kushindwa kuzuia mauaji ya kimbari ya Israeli dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, akiamini kwamba vyombo hivi havifanyi kazi yao ipasavyo.
-
Wamarekani milioni 42 wako hatarini kukumbwa na njaa kutokana na kufungwa shughuli za serikali
Oct 26, 2025 01:12Takriban Wamarekani milioni 42 wanakabiliwa na tishio la njaa ikiwa kufungwa kwa shughuli za Serikali ya Shirikisho kutaendelea, na iwapo ufadhili wa SNAP utasimamishwa Novemba 1.
-
Je, maafa ya Ghuba ya Nguruwe yatakariri kwa Marekani kuhusiana na mvutano wa sasa na Venezuela?
Oct 25, 2025 22:52Huku uwezekano wa Marekani kuishambulia Venezuela ukiongezeka, kunajitokeza swali kwamba, je hadithi ya Ghuba ya Nguruwe (Bay of Pigs) itakaririwa kuhusiana na Venezuela?
-
Marekani yatuma meli kubwa zaidi ya kivita Amerika ya Kusini; Venezuela yatabiri hatari kubwa
Oct 25, 2025 09:18Marekani imeamua kutuma meli ya kivita ya kubeba ndege, USS Gerald R. Ford , ambayo ndiyo kubwa zaidi duniani, pamoja na meli zingine tano za kivita kwenda Amerika ya Kusini, hatua ambayo imekosolewa vikali na Venezuela ikiitaja kuwa ya kichokozi, hatarishi, na kinyume cha sheria za kimataifa.
-
Iran, Russia, China zamtumia barua mkuu wa IAEA kutangaza kumalizika kwa Azimio 2231 la UN
Oct 25, 2025 09:17Iran, China, na Russia zimemuandikia barua ya pamoja mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la nishati ya nyuklia (IAEA), kuthibitisha kumalizika kwa Azimio la Baraza la Usalama la UN 2231 pamoja na taarifa za shirika kuhusu mpango wa nishati ya nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Je, chuki dhidi ya Uislamu itazuia ushindi wa meya wa kwanza Muislamu wa New York?
Oct 25, 2025 09:15New York, mji unaojivunia kuwa na tamaduni mbalimbali umekumbwa na wimbi la propaganda chafu na chuki dhidi ya Uislamu katika siku za mwisho za kampeni za uchaguzi wa meya wa mji huo, yaani tarehe 4 Novemba 2025.
-
UN yapinga madai ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani kuhusu UNRWA
Oct 25, 2025 01:51Umoja wa Mataifa umepinga taarifa ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani aliyedai kiuongo kwamba Shirika la Umoja wa Mataifa la Kusaidia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) lina uhusiano na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS.