-
Je, chuki dhidi ya Uislamu itazuia ushindi wa meya wa kwanza Muislamu wa New York?
Oct 25, 2025 09:15New York, mji unaojivunia kuwa na tamaduni mbalimbali umekumbwa na wimbi la propaganda chafu na chuki dhidi ya Uislamu katika siku za mwisho za kampeni za uchaguzi wa meya wa mji huo, yaani tarehe 4 Novemba 2025.
-
UN yapinga madai ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani kuhusu UNRWA
Oct 25, 2025 01:51Umoja wa Mataifa umepinga taarifa ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani aliyedai kiuongo kwamba Shirika la Umoja wa Mataifa la Kusaidia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) lina uhusiano na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS.
-
Malaysia yashuhudia maandamano makubwa dhidi ya Israel na Marekani
Oct 24, 2025 23:37Maandamano makubwa yamefanyika nchini Malaysia kuunga mkono wananchi wa Palestina na kulaani himaya ya Marekani kwa Israel na jinai za utawala huo ghasibu katika Ukanda wa Gaza.
-
China na Russia zalaani vikali vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya sekta ya nishati Russia
Oct 24, 2025 06:36Russia imelaani vikali vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya makampuni yake makubwa ya mafuta, ikionya kuwa hatua hizo za Washington zinaweza kuisukuma dunia kuelekea hali ya kutokuwa na utulivu.
-
Mahakama ya ICJ: Israel inapasa kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia Gaza
Oct 23, 2025 07:40Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imeitaka Israel ijiepushe kutumia sheria zake za upande mmoja maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na kuukosoa utawala huo ghasibu kwa kuzuia kufikishwa misaada ya kibinadamu katika eneo lililoharibiwa na vita la Gaza.
-
Maduro atishia kuvurumusha maelfu ya makombora ya Igla-S kukabiliana na vitisho vya Marekani
Oct 23, 2025 02:50Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, ametangaza kuwa nchi yake inamiliki makombora 5,000 ya kutungulia ndege yaliyotengenezwa Russia ili kukabiliana na vitisho vya jeshi la Marekani na vikosi vyake vilivyotumwa katika visiwa vya Caribbean.
-
Shakhsia mashuhuri wa Kiyahudi duniani waihimiza UN, viongozi wa dunia kuiwekea vikwazo Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza
Oct 23, 2025 02:50Zaidi ya shakhsia 450 wa Kiyahudi kutoka duniani kote wametoa wito kwa Umoja wa Mataifa na viongozi wa kimataifa kuuwekea vikwazo utawala wa Israel kutokana na mauaji ya kimbari "yasiyokubalika" katika Ukanda wa Gaza.
-
Korea Kaskazini yarusha makombora ya balestiki wiki moja kabla ya mkutano nchini Korea Kusini
Oct 22, 2025 23:05Korea Kaskazini imerusha makombora kadhaa ya masafa mafupi kuelekea Bahari ya Japan kwenye pwani ya mashariki ya nchi hiyo.
-
Unafiki wa Ulaya mkabala wa Gaza: Biashara na Israel au kuheshimu haki za binadamu?
Oct 22, 2025 22:59Umoja wa Ulaya utarejesha uhusiano wake wa kibiashara wa upendeleo na Israel hatua kwa hatua kwa kisingizio cha kutekelezwa usitishaji unaolegalega wa mapigano huko Gaza.
-
Japan yapinga mashinikizo ya Marekani ya kuacha kununua nishati kutoka Russia
Oct 22, 2025 09:18Yoji Muto, Waziri wa Biashara wa Japan amepinga vikali mashinikizo makubwa ya Marekani dhidi ya nchi hiyo. Marekani inaitaka Japan iache kununua nishati kutoka Russia. Tokyo, kwa upande wake, inasema kuwa itachukua maamuzi kwa mujibu wa maslahi yake ya kitaifa.