SAUTI: Wakenya wasiokuwa na vitambulisho vya uraia waitisha maandamano makubwa Kenya
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i15997-sauti_wakenya_wasiokuwa_na_vitambulisho_vya_uraia_waitisha_maandamano_makubwa_kenya
Hatma ya kusajiliwa kwa jamii zisizokuwa na uraia wa taifa la Kenya bado haijafahamika kutokana na kukamilika kwa muda wa usajili wa jamii hizo.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Sep 24, 2016 13:52 UTC

Hatma ya kusajiliwa kwa jamii zisizokuwa na uraia wa taifa la Kenya bado haijafahamika kutokana na kukamilika kwa muda wa usajili wa jamii hizo.

Awali serikali ya Kenya iliamuru kubuniwa jopokazi ili kufuatilia swala hilo, ambapo sasa tume ya kitaifa ya kutetea haki za binadamu nchini humo, imeibuka na kulikosoa jopokazi hilo kwa kuzembea usimamizi wa suala hilo.

Jamii ya Wamakonde akilalamikia kunyimwa vyeti vya uraia nchini Kenya.

Tujiunge na mwandishi wetu wa mjini Mombasa Seifuulah Murtadha kwa taarifa kamili………./