-
Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?
May 12, 2025 23:32Sambamba na kuongezeka mvutano kati ya Algeria na Ufaransa, serikali ya Algiers imechukua uamuzi wa kuwafukuza maafisa wawili wa kiintelijensia wa Ufaransa waliokuwa na pasipoti za kidiplomasia.
-
Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan
May 12, 2025 04:02Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimeripoti kuwa mabilioni ya dola za India yaliyotumika kwenye ununuzi wa silaha kutoka kwa Israel yamechangia pakubwa katika vita vya wiki iliyopita dhidi ya Pakistan.
-
Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan
May 11, 2025 22:28Mzozo wa India na Pakistan ni moja ya migogoro sugu na ya muda mrefu zaidi katika eneo la Asia Kusini.
-
Vipaumbele muhimu zaidi vya sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
May 11, 2025 04:29Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefafanua vipaumbele na masuala muhimu zaidi katika siasa za nje za Iran katika kikao cha Doha na pia katika vikao vingine na viongozi mbalimbali wa nchi za eneo.
-
Je, vyuo vikuu vya Marekani vimekuwa wenzo wa kisiasa wa serikali ya Trump?
May 11, 2025 00:31Habari ya kusimamishwa wanachuo zaidi ya 65 wa Chuo Kikuu cha Columbia kwa sababu eti ya kushiriki kwao katika maandamano ya kuiunga mkono Palestina, kwa mara nyingine imefichua makutano nyeti kati ya uhuru wa kujieleza, mamlaka ya kitaaluma na sera za usalama katika vyuo vikuu vya Magharibi.
-
Ni vipi vipaumbele vya Iran katika Duru ya 4 ya Mkutano wa Mazungumzo kati ya Iran na Nchi za Kiarabu
May 10, 2025 08:02Duru ya 4 ya Mkutano wa Mazungumzo kati ya Iran na Nchi za Kiarabu chini ya anwani "Uhusiano Imara na Maslahi ya Pande Mbili" inafanyika Doha mji mkuu wa Qatar kwa ushirikiano wa pamoja wa Baraza la Kiistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran na Kituo cha Utafiti cha al Jazira.
-
Utayarifu wa Iran wa kufanya jitihada za kutatua mzozo wa India na Pakistan
May 10, 2025 00:51Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Droupadi Murmu wa India ambapo ameashiria mvutano wa hivi sasa kati ya nchi hiyo na Pakistan na kutangaza kuwa, Iran iko tayari kufanya juhudi za aina yoyote ili kusaidia jitihada za kupunguza mivutano na kuimarisha amani katika eneo hilo muhimu.
-
Mipaka iliyoacha nyuma ubinadamu
May 09, 2025 12:05Katika habari za karibuni kuhusu ukiukwaji wa haki za wahamiaji na wakimbizi barani Ulaya, shirika la misaada la SOS Humanity, limetoa ripoti iliyopewa jina la "‘Borders of (In)Humanity’," ambayo imechapisha mahojiano na wakimbizi 64 waliookolewa baharini, na kufichua ukubwa wa janga la safari za vifo za wakimbizi kutoka Afrika kwenda Ulaya.
-
Je, Dan Jarvis anasema nini? Ni nani na amefanya nini?
May 08, 2025 22:50Madai yaliyotolewa katika bunge la Uingereza siku ya Jumanne, Mei 6 na Dan Jarvis, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, kwa mara nyingine tena yameibua kile kinachodaiwa kuwa tishio la usalama kutoka Iran.
-
Uwanja wa Ndege wa Port Sudan kutoka Lango la Matumaini hadi Uwanja wa Vita. Je, jitihada za kutoa msaada zitaendelea?
May 08, 2025 02:22Sauti ya ving'ora inasikika kutoka mbali. Moshi mweusi unatanda angani kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Port Sudan. Umati mkubwa wa watu unakimbia kuelekea moja ya kambi za maficho za muda.