-
Mwito wa Iran kwa jamii ya kimataifa wa kuzingatiwa hali ya Gaza
Apr 19, 2025 10:46Esmail Baghaei, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuzingatia kwa uzito jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.
-
Wasiwasi wa Ulaya uliotokana na mgeuko mkubwa katika sera za Marekani kuhusiana na washirika wake
Apr 18, 2025 22:55Kubadilika sera za nje za Marekani kumeanza kidogo kidogo kuwatoa mafichoni wanasiasa wa Ulaya kwa kuwafanya waeleze kinagaubaga na kwa uwazi zaidi wasiwasi walionao kuhusu sera za Donald Trump za kujichukulia hatua za upande mmoja.
-
Kushadidi mashinikizo na ukandamizaji wa Magharibi dhidi ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina
Apr 18, 2025 04:05Sambamba na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuendeleza vita vya kinyama na mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ghaza na kuzuia kikamilifu misaada ya kibinadamu isiingizwe katika eneo hilo uliloliwekea mzingiro, nchi za Magharibi zinazouunga mkono utawala huo ghasibu hususan Ujerumani na Marekani nazo pia zimeshadidisha mashinikizo na ukandamizaji dhidi ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina.
-
Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?
Apr 17, 2025 23:03Wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vikiingia katika mwaka wake wa tatu, mapigano, kuhama makazi na njaa vimeifanya nchi hiyo kuwa moja ya nchi zilizotumbukia kwenye mgogoro mkubwa zaidi duniani.
-
Grossi asisitiza nafasi ya diplomasia katika suala la nyuklia la Iran
Apr 17, 2025 09:13Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), aliwasili Tehran Jumatano, Aprili 16, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Sayyid Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, na Mohammad Eslami, Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran.
-
Kiwewe cha Trump kwa hatua za China: Juhudi za Beijing za kuunda muungano dhidi ya Washington
Apr 16, 2025 22:58Rais wa Marekani Donald Trump ameshindwa kuficha kiwewe chake kwa kusema kuwa ziara ya Rais Xi Jinping wa China nchini Vietnam inalenga kuiharibia jina Marekani, huku kukiwa na ongezeko la vita vya ushuru kati ya Washington na Beijing.
-
Taratibu ambazo Iran inaona zinahitajika ili kurekebisha Mkataba wa Umoja wa Mataifa
Apr 16, 2025 06:19Kazem Gharibabadi, Naibu Waziri wa Masuala ya Kisheria na Masuala ya Kimataifa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amewasilisha mapendekezo ya Jamhuri ya Kiislamu kwa wajumbe wa Kundi la Marafiki wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa katika kikao cha tatu cha Waratibu wa Kitaifa wa Hati ya Marafiki wa Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na Moscow.
-
Mgogoro mkubwa katika jeshi la Israel; Kwa nini wanajeshi wa utawala huo wanatoroka?
Apr 15, 2025 23:12Barua ya malalamiko ya marubani wa Jeshi la Anga la Israel na uungaji mkono wa askari wa vitengo vingine kwa hatua hiyo ni kengele ya hatari kuhusu uwezekano wa kuenea uasi miongoni mwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni.
-
Kuimarishwa biashara kati ya Iran na Eurasia; hatua ya kimkakati
Apr 15, 2025 11:14Biashara kati ya Iran na Umoja wa Kiuchumi wa Nchi za Eurasia imekuwa ikistawi siku hadi siku licha ya vikwazo vikubwa vya kiuchumi vilivyowekwa na Magharibi dhidi ya Iran. Kwa mujibu wa tawimu mpya zilizotolewa hivi karibuni, uuzaji bidhaa za Iran kwa nchi wanachama wa umoja huo katika mwaka uliopita uliongezeka kwa asilimia 20 na kufikia karibu dola bilioni mbili.
-
Trump au mkoloni muflisi? Ukosoaji mkali wa mchumi wa Ufaransa dhidi ya sera za Marekani
Apr 14, 2025 22:52Gazeti la Ufaransa la "Le Monde" limekosoa sera za serikali ya Marekani katika kuamiliana na nchi nyingine na kuandika: "Mgogoro uliopo si wa kiuchumi tu, bali pia ni mgogoro wa uhalali na utendaji wa kisiasa, unaotokana na uozo wa muundo wa madaraka nchini Marekani."