-
Kushindwa mhimili wa vita wa Kizayuni na Marekani katika vita huko Yemen na Gaza
Apr 14, 2025 07:29Licha ya mashambulizi yanayoendelea kufanywa na mhimili wa Kizayuni na Marekani dhidi ya Yemen na Gaza, bado vikosi vya jeshi la Yemen na Muqawama wa Palestina vinaendelea kukabiliana na wavamizi hao.
-
Mgogoro unaoshadidi wa Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
Apr 13, 2025 23:02Baada ya kuanza vita vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Gaza, ripoti zinaonesha ongezeko la asilimia 140 ya uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu katika nchi za Ulaya, hasa Ujerumani — jambo ambalo limegeuka kuwa tishio kubwa kwa jamii za Ulaya.
-
Jamii ya kimataifa yaendelea kunyamazia kimya jinai za Israel
Apr 13, 2025 08:56Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kali kuhusu vifo vya watoto wa Gaza kwa wingi kutokana na njaa kali na ukosefu wa chakula.
-
Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington
Apr 12, 2025 22:48Rais Xi Jin Ping wa China amesisitiza katika mazungumzo na Pedro Sanchez, Waziri Mku wa Uhispania ulazima wa kuimarisha ushirikiano kati ya China na Umoja wa Ulaya ili kukabiliana na hatua za upande moja za Marekani.
-
Mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani yaliyoanza leo mjini Muscat, Oman
Apr 12, 2025 05:48Esmail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa: Ujumbe wa Iran ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Sayyid Abbas Araqchi umeelekea Muscat mji mkuu wa Oman yanakofanyika mazungumzo kati ya Iran na Marekani.
-
Marekani yaendeleza mradi wa kuwatimua wanafunzi wa kimataifa wanaoiunga mkono Palestina
Apr 11, 2025 22:48Ukandamizaji na vitisho dhidi ya wanafunzi wanaounga mkono haki ya Wapalestina unaendelea katika vyuo vikuu vya Marekani, jambo ambalo limevuruga mfumo wa elimu nchini humo.
-
Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani
Apr 11, 2025 04:12Rais wa Marekani Donald Trump, amesalimu amri baada ya masoko ya hisa ya Marekani kuporomoka vibaya kutokana na sera zake mbovu za kuanzisha vita vya kiudhumi na kuzipandishia ushuru bidhaa za nchi zote duniani.
-
Kimya cha dunia mkabala wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza
Apr 10, 2025 22:40Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa Gaza imekuwa machinjioni, na zaidi ya mwezi mmoja sasa hakuna msaada wowote uliopelekwa eneo hilo na kwamba wakazi wa Gaza hawana mafuta, dawa na bidhaa nyingine zinazohitajika.
-
Vita Vyenye Faida!
Apr 10, 2025 22:39Tunaanza kwa swali rahisi na jepesi: Kwa nini Trump na Netanyahu hawataki kusitishwa mapigano? Na kwa nini Marekani imeanza duru mpya ya mashambulizi na hujuma kali dhidi ya Yemen sambamba na kuanza mashambulizi mapya ya Israel dhidi ya watu wa Gaza? Hebu sasa tuangalie takwimu:
-
Sera za ushuru za Trump na ukuruba wa China na Ulaya
Apr 10, 2025 07:14Sera za ushuru za Rais Donald Trump wa Marekani zimegeuka kuwa vita vya kibiashara kati ya Marekani na waitifaki, washirika na wapinzani wake wa kibiashara.