-
Masharti ya Iran katika kufanya mazungumzo na nchi za Magharibi
Mar 19, 2025 06:42Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza wazi masharti yake ya kufanya mazungumzo na nchi za Magharibi, huku ikisisitiza kutofanya mazungumzo yaliyosimama kwenye msingi wa mashinikizo na vitisho.
-
Haki za binadamu; Chombo kinachohudumia maslahi ya kitaifa ya Marekani
Mar 19, 2025 00:41Moja ya nyadhifa muhimu za kutumia haki za binadamu kama wenzo katika sera ya mambo ya nje ya Marekani ni kuhalalisha sera za nchi hiyo katika sehemu mbalimbali za dunia.
-
Nafasi ya nchi za Magharibi katika kuupatia utawala wa Saddam silaha za kemikali
Mar 18, 2025 10:36Katika kumbukumbu ya miaka 37 ya maafa makubwa ya mashambulizi ya mabomu ya kemikali huko Halabja, waathiriwa wa maafa hayo ya binadamu wamekumbukwa katika mahfali na vikao mbalimbali.
-
Umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa Iran na India katika nyanja mbalimbali
Mar 18, 2025 01:14Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa X akiashiria historia ndefu ya uhusiano kati ya nchi mbili za Iran na India kwamba: Uhusiano huu umekuwa muhimu sana katika kuandaa mazingira ya kuimarishwa ushirikiano wa pande zote.
-
Sisitizo la Iran la kukabiliana na siasa za mabavu za Marekani
Mar 17, 2025 06:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Seyed Abbas Araghchi alisema Jumapili, Machi 16, katika kujibu matamshi ya kibabe na ya uingiliaji ya viongozi wa Marekani dhidi ya Iran, kwamba serikali ya Washington haina haki ya kuilazimisha Iran itekeleze siasa za kigeni zinazoendana na maslahi ya Washington.
-
Kwa nini Israel na Marekani zinaeneza chuki dhidi ya Uislamu kwa kutumia vibaya vyombo vya habari?
Mar 16, 2025 23:08Utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani pamoja na baadhi ya nchi za Ulaya zimeendeleza vitendo vyao vya uharibifu na kuiondoa Televisheni ya Al-Aqsa katika satalaiti zote za kimataifa kwa lengo la kubana uhuru wa kujieleza.
-
Hatua ya Marekani ya kuishambulia kijeshi Yemen; kukariri mkakati ulioshindwa kufua dafu mbele ya Ansarullah
Mar 16, 2025 06:14Donald Trump, ambaye aliingia madarakani kwa ahadi ya kuleta suluhu na amani na kuhitimisha vita kadhaa wa kadhaa vilivyoanzishwa na Marekani, ametoa amri ya kushambuliwa kijeshi Yemen baada ya kupita miezi miwili tu tangu ashike hatamu za utawala.
-
Mgongano wa maneno na vitendo vya seriakli ya Trump kuhusu Iran
Mar 15, 2025 22:48Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kuzungumzia mara kwa mara nia yake ya kufanya mazungumzo na Iran katika miezi ya kwanza ya muhula wake wa pili wa urais na hata kutuma barua kuhusiana na suala hilo kwa Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, lakini kivitendo amekuwa akitekeleza mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran na kuchukua hatua mpya katika uwanja huo kila siku.
-
Mtikisiko wa kiuchumi nchini Uingereza; Kengele ya hatari kwa serikali ya Starmer
Mar 15, 2025 05:12Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa uchumi wa Uingereza ulidorora mwanzoni mwa 2025, kinyume na utabiri, na kushuka huku kusikotarajiwa, ambako ni matokeo ya uzalishaji duni wa viwandani na kudorora kwa sekta muhimu, kumezidisha wasiwasi kuhusu mustakabali wa uchumi wa nchi hiyo na changamoto zinazoikabili serikali ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo Keir Starmer katika njia ya ukuaji wa uchumi.
-
Kuanza tena Marekani kuipa Ukraine silaha, Putin atoa masharti
Mar 14, 2025 22:53Sambamba na kujaribu kuonesha kuwa msimamo wa Marekani umebadilika kuhusu Russia, rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anapanga kupeleka shehena mpya ya silaha kwa Ukraine ili kuendeleza vita na Russia ikiwa ni kuonesha siasa zilezile za kila siku za nyuso mbili za Marekani.