-
Kushadidi maandamano na malalamiko ya kisiasa huko Israel
Mar 28, 2025 22:59Huku maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yakifanyika katika nchi mbalimbali kwa ajili ya kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel, mivutano ya kisiasa na hitilafu katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu nayo imeongezeka na kupamba moto zaidi.
-
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds
Mar 28, 2025 07:54Mnamo mwaka 1979, mara tu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini alitangaza Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa siku ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds, akiwa amesimama imara katika kupigania haki za watu wote wanaodhulumiwa ulimwenguni.
-
Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa
Mar 28, 2025 02:34Mark Rutte, Katibu Mkuu wa NATO amesisitiza juu ya umoja wa pande mbili za Bahari ya Atlantiki na kusema kuwa changamoto za kiusalama duniani ni kubwa kiasi kwamba Ulaya na Marekani pake yazo haziwezi kukabiliana nazo.
-
Kukiri jamii ya ujasusi ya Marekani kwamba Hamas haijashindwa huko Gaza
Mar 27, 2025 22:57Ripoti kuhusu vitisho ambayo hutolewa kila mwaka na jamii ya masuala ya ujasusi ya Marekani imekiri kwamba kundi la muqawama wa Palestina la Hamas huko Gaza halijashindwa bado na kwamba linaendelea kudumisha nguvu, wapiganaji na miundombinu yake.
-
Kutozwa ushuru wa asilimia 25 na Marekani kwa nchi zinazonunua mafuta ya Venezuela
Mar 27, 2025 02:19Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa biashara yoyote na nchi zinazonunua mafuta na gesi ya Venezuela. Ameelezea ushuru huu kama jibu la kutumwa Marekani wanachama wa genge la uhalifu la "Tren de Aragua".
-
Mapatano na Lebanon; ndoto ya Wazayuni na upinzani mkali wa Walebanon
Mar 26, 2025 02:21Nabih Berri, Spika wa Bunge la Lebanon amefichua mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kuiburuza nchi hiyo ya Kiarabu katika mtego wa kuanzisha nayo uhusiano wa kawaida, na kusisitiza kuwa, Lebanon katu haiko tayari kuwa na uhusiano wa aina hiyo na utawala huo.
-
Upinzani wa serikali ya Trump dhidi ya hatua za Ulaya za kupinga Russia
Mar 25, 2025 23:09Baada ya kuchaguliwa tena kwa mara ya pili Rais Donald Trump wa Marekani sasa amegeukia mazungumzo ya moja kwa moja na Russia nchini Saudi Arabia ili kutimiza ahadi aliyotoa ya kuhitimisha vita huko Ukraine ambapo jumbe za Marekani na Russia tayari zimefanya duru ya pili ya mazungumzo huko Riyadh Saudi Arabia kuhusiana na suala hilo.
-
Wimbi jipya la maandamano dhidi ya Uzayuni barani Ulaya
Mar 25, 2025 06:38Maandamano makubwa yamefanyika huko Paris mji mkuu wa Ufaransa na katika miji mingine ya Ulaya kupinga duru mpya ya mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Umuhimu wa msimamo wa kamati ya mawaziri wa nchi za Kiarabu na Kiislamu dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza.
Mar 24, 2025 22:49Kamati ya Mawaziri ya Nchi za Kiarabu na Kiislamu imeelezea wasi wasi wake kuhusu mashambulizi mapya ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kutaka kutekelezwa mara moja na kikamilifu usitishaji vita kwa mujibu wa azimio nambari 2735 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Mapatano mapya ya nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia
Mar 24, 2025 07:04Kwa kutilia maanani jaribio la utawala wa Trump la kuanzisha usitishaji vita nchini Ukraine kwa kuilazimisha ikubali masharti yaliyowekwa na Russia na upinzani wa nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya suala hili, na kwa upande mwingine madai ya baadhi ya viongozi wa Ulaya kuhusu vitisho vya Russia dhidi ya bara hilo, nchi hizo sasa zimechukua hatua mpya kwa ajili ya kukabiliana na Moscow.