-
Uvurugaji wa utawala wa Kizayuni na kuongezeka wasiwasi kuhusu kuvunjika usitishaji vita huko Ghaza
Mar 04, 2025 07:47Huku awamu ya kwanza ya usitishaji vita na kubadilishana wafungwa na mateka kati ya utawala wa Kizayuni na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas), ikiwa imemalizika, baraza la mawaziri la Netanyahu limeongeza wasiwasi wa kuanzishwa tena vita dhidi ya Ukanda wa Gaza, kwa kuvuruga mazungumzo ya utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita.
-
Misaada ya kijeshi na silaha ambayo haijawahi kutolewa mfano wake ya serikali ya Trump kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 03, 2025 23:28Sambamba na Marekani kukata misaada yake kwa Ukraine, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, siku ya Jumapili alitumia mamlaka ya dharura aliyonayo kisheria kupitisha mpango wa utoaji msaada wa shehena ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 4 kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Malengo ya Iran ya kuwa na ushirikiano mzuri na majirani zake katika nyuga mbalimbali
Mar 03, 2025 06:45Majid Takht Ravanchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesema kuhusu mikutano na mazungumzo aliyofanya na maafisa wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati kwamba majirani wana nafasi maalumu katika sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kuendelea hatua za kimataifa dhidi ya uvamizi wa Israel
Mar 02, 2025 22:52Katika kuendeleza mapambano na kupinga jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, viongozi wa Afrika Kusini, Malaysia na Colombia wametangaza kuwa watazizuia meli zilizobeba silaha kwa ajili ya Israel kuingia katika bandari za nchi hizo.
-
Ulazima wa kuheshimiwa haki za Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan
Mar 02, 2025 06:56Suala la kuheshimiwa haki za Waislamu wa madhehebu ya Shia limesisitiza katika Kongamano Kuu la Mashia na jami ya walio wachache ya kabila la Hazara nchini Afghanistan, lililofanyika mjini Kabul likuhudhuriwa na maafisa wa Taliban.
-
Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika
Mar 01, 2025 23:03Mshauri na Mjumbe Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na Ethiopia na nchi za Kiafrika kwa ujumla.
-
Mazungumzo yaliyogubikwa na mvutano mkubwa kati ya Trump na Zelensky
Mar 01, 2025 10:06Viongozi wenye mielekeo ya Kimagharibi wa Ukraine waliipa mgongo Russia baada ya matukio ya mwaka 2014 na kuingia madarakani serikali kibaraka kwa Magharibi huko Ukraine kwa himaya na msaada wa pande zote wa nchi za magharibi hususan Marekani na Ulaya; na walitaka nchi hiyo kujiunga na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) na Umoja wa Ulaya (EU) na kukata uhusiano na Russia.
-
Ulaya yakabiliwa na fedheha nyingine kutoka Marekani
Feb 28, 2025 23:27Ikiwa ni katika mwendelezo wa fedheha dhidi ya Ulaya, Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, amefuta mkutano uliokuwa umepangwa kufanyika kati yake na Kaja Kallas, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya.
-
Uanachama wa Nchi za Afrika katika ECO: Fursa ya kuimarisha ushirikiano wa Kiuchumi
Feb 28, 2025 12:07Kuongeza ushirikiano na kupanua mahusiano katika nyanja mbalimbali za uchumi ni miongoni mwa malengo makuu ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi (ECO).
-
Sera za kinafiki za Marekani kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia
Feb 27, 2025 23:11Katika taarifa yake mpya kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia, Waziri wa Nishati wa serikali ya Marekani, Chris Wright, amesema kutokana na Marekani kuwa kinara katika masuala ya akili mnemba (artificial intelligence) na ili kuwashinda wapinzani katika teknolojia hii, nchi yake inahitaji kusambaza umeme kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika na vya bei nafuu kama vile nishati ya nyuklia.