-
Israel inakusudia nini kwa mashambulizi yake ya mara kwa mara dhidi ya Syria?
Feb 27, 2025 06:28Utawala wa Kizayuni wa Israel Jumatano Februari 26 ulishambulia mara kadhaa maeneo mbalimbali ya Syria na kuua na kujeruhi watu kadhaa.
-
Mashtaka dhidi ya utawala wa Biden katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu
Feb 26, 2025 23:06Taasisi ya "Demokrasia kwa ajili ya Ulimwengu wa Kiarabu Sasa" (DAWN), imefungua mashtaka dhidi ya Rais wa zamani wa Marekani, Joe Biden na mawaziri wake wawili yaani waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani, Anthony Blinken na waziri wa zamani wa ulinzi wa nchi hiyo Lloyd Austin katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ikiitaka ianzishe uchunguzi dhidi ya viongozi hao kutokana na kusaidia uhalifu wa kivita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kura ya Marekani ya kupinga azimio la kuilaani Russia katika Umoja wa Mataifa
Feb 26, 2025 03:22Hatua ya Marekani ya kutopigia kura azimio la kuilaani Russia kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, imezusha makele mengi.
-
Jumuiya ya ASEAN na udharura wa kusaidia kutatua mgogoro wa Waislamu wa Rohingya
Feb 25, 2025 22:47Sambamba na mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mashhauri ya Kigeni wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) huko Langkawi, Malaysia, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo amesisitiza dhamira ya Kuala Lumpur kama mwenyekiti wa zamu wa umoja huo juu ya kutatuliwa mgogoro wa Myanmar na kurejesha amani ya nchi hiyo.
-
Uwezekano wa kutokea vita katika eneo la Maziwa Makuu
Feb 25, 2025 10:21Huku vikosi vya waasi wa M23 vikiendelea kusonga mbele katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kumeongeza hatari ya kutokea vita vya pande zote katika eneo la Maziwa Makuu Afrika.
-
Kuendelea kupiga kambi kwa nguvu na satua msafara wa Manowari za Jeshi la Wanamaji la Iran katika maji ya kimataifa
Feb 25, 2025 00:34Admirali Shahram Irani, Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa Msafara wa Manowari Nambari 5 za jeshi hilo umepiga kambi katika eneo la maji ya kimataifa.
-
Mafanikio ya kimkakati uliyopata Muqawama wa Lebanon chini ya uongozi wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah
Feb 24, 2025 07:51Jana Jumapili Februari 23 yalifanyika mjini Beirut, Lebanon mazishi ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah aliyeuawa shahi, kwa kuhuhudhuriwa na zaidi ya watu milioni moja. Suali muhimu linaloulizwa na wengi ni: Kuna mafanikio gani ya kimkakati ambayo Muqawama wa Lebanon umepata katika kipindi cha miaka 33 ya uongozi wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah?
-
Je, unaujua mtazamo wa Iran kuhusu uhusiano na nchi za Afrika?
Feb 23, 2025 23:39Mohammad Reza Aref, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao na wakuu wa balozi za nchi za Afrika zilizopo mjini Tehran kwamba: Kukuza uhusiano wa kiuchumi na kibiashara na bara la Afrika ni moja ya vipaumbele vya siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kutimuliwa wanajeshi wa Ufaransa katika nchi ya sita ya Afrika
Feb 23, 2025 07:34Siku ya Alkhamisi, Februari 20, 2025, wanajeshi wa mkoloni kizee wa Ulaya yaani Ufaransa walitimuliwa katika kambi yao pekee ya kijeshi nchini Ivory Coast.
-
Kufichuka nia halisi ya utawala wa Kizayuni nchini Syria
Feb 22, 2025 23:11Kimya na kutochukua hatua yoyote watawala wapya wa Syria vimeufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ufikirie kuyatwaa kabisa maeneo mapya yaliyokaliwa kwa mabavu nchini Syria.