-
Onyo la Putin kuhusu kuwekwa makombora mapya ya Marekani barani Ulaya na Asia
Dec 18, 2024 07:37Rais Vladimir Putin wa Russia, ametoa onyo kuhusu kuwekwa makombora ya masafa ya kati na mafupi ya Marekani barani Ulaya na Asia, akisisitiza kwamba nchi yake itatoa jibu la pande zote kwa hatua hiyo. Putin amesema, mpango wa Washington wa kuweka makombora barani Ulaya unaitia wasiwasi mkubwa Moscow.
-
Ukwamishaji mambo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mchakato wa mazungumzo ya amani Asia Magharibi
Dec 17, 2024 23:11Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameliambia gazeti moja la Italia kwamba tatizo la Palestina si Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bali ni utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ukandamizaji mkubwa wa "uhuru" katika vyuo vikuu vya Marekani
Dec 17, 2024 09:32Sanjari na kuendelea maandamano ya wanafunzi katika vyuo vikuu vya Marekani kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina na kuwaunga mkono wakaazi wa Gaza, vitendo vya ukandamizaji vya serikali na polisi wa Marekani dhidi ya wanafunzi vimeshadidi na kuchukua wigo mpana zaidi.
-
Iran Kurudi Nyuma, Kamwe?
Dec 16, 2024 23:08Je, Iran imelegeza kamba na kurudi nyuma? Wakati Donald Trump alipojiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuanza kutekeleza sera ya mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran, wengi walidhani kuwa Iran ingesalimu amri.
-
Ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani na Uingereza
Dec 16, 2024 03:22Kwa mujibu wa ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa Marekani na Uingereza, ripoti ambayo imeandaliwa kwa kutelekeza mswada uliopitishwa na Bunge la Iran mwaka 1391 Hijria Shamsia,
-
Wamagharibi na mchezo wa undumakuwili kuhusu jinai za Israel
Dec 15, 2024 23:09Licha ya hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai dhidi ya viongozi wa utawala wa Kizayuni, mahakama ya Uholanzi imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa kwa lengo la kuzuia kuuziwa silaha za nchi hiyo utawala ghasibu wa Israel.
-
Radiamali ya kwanza ya Syria kwa mashambulizi ya Israel baada ya kuanguka serikali ya Assad
Dec 15, 2024 08:08Hatimaye watawala wapya wa Syria wametoa radiamali dhidi ya jinai za utawala haramu wa Israel baada ya mashambulizi ya mara kwa mara na mfululizo ya Tel Aviv dhidi ya umoja wa ardhi ya nchi hiyo na pia kukaliwa kwa mabavu maeneo mengi ya Syria.
-
Kutoadhibiwa na kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni
Dec 14, 2024 23:40Richard Burgon, mbunge wa Bunge la Uingereza amekosoa mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, kutoadhibiwa utawala huo katika vta vya Gaza kumezidi kuitia kiburi Tel Aviv.
-
Sisitizo la Iran juu ya haja ya jamii ya kimataifa kuwajali wakimbizi wa Afghanistan
Dec 14, 2024 05:15Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amezungumzia uwepo wa wakimbizi zaidi ya milioni 6 wa Afghanistan nchini Iran na kutangaza kuwa, Tehran inatumia zaidi ya dola bilioni 10 kila mwaka kukidhi mahitaji yao licha ya kutopewa uungaji mkono wa kutosha wa jamii ya kimataifa katika kadhia hiyo.
-
Kikao cha 10 cha Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Qatar
Dec 13, 2024 23:17Kufanyika Kikao cha 10 cha Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Qatar huko Doha, kunaonyesha umuhimu unaotolewa na nchi mbili hizi kwa ajili ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na kibiashara.