-
Ulimwengu wa Spoti, Machi 3
Mar 03, 2025 09:29Hujambo mpenzi mwanaspoti. Karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio yaliyogonga vichwa vya habari katika viwanja na kumbi mbalimbali za michezo ndani ya wiki moja iliyopita...
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 24
Feb 24, 2025 06:02Hujambo msikilizaji mpenzi na hasa mfuatiliaji wa matukio ya spoti. Karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku zilizopita katika kona mbali mbali za dunia.....
-
Mwana wa Nasrullah asema siku ya Jumapili ya mazishi ya baba yake ni "Siku ya Kutangaza Msimamo"
Feb 22, 2025 06:07Sayyid Muhammad Mahdi Nasrullah, mwana wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon aliyeuawa shahidi amesema katika hotuba ya kuwatolea mwito watu kuhudhuria mazishi ya baba yake kwamba: "kushiriki katika mazishi ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah kutakuwa ni kushiriki mtu katika siku ya kutangaza msimamo na kudhihirisha kivitendo mapenzi yake kwa Shahidi Nasrullah".
-
Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina; Jinai mpya dhidi ya Wapalestina
Feb 20, 2025 08:10Leo tutaangazia jinai mpya ya Wazayuni na washirika wao ya kutaka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina katika makazi na nchi yao.....
-
Deep Seek; Kuongezeka mchuano kati ya China na Marekani katika uga wa teknolojia
Feb 20, 2025 08:07Kuibuka na kupanuka kwa teknolojia ya hali ya juu katika nyanja mbalimbali, hasa katika uwanja wa akili mnemba (Artificial Intligence) kumesababisha mabadiliko makubwa duniani Katika miaka ya hivi karibuni.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 17
Feb 17, 2025 06:36Hujambo mpenzi na ashiki wa spoti, natumai u mzima wa afya. Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyoshuhudiwa ndani ya siku zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Magaidi wafanya shambulio jingine baya la kigaidi Mali + Video
Feb 09, 2025 02:24Takriban watu 40 wameuawa baada ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) kushambulia msafara wa usambazaji bidhaa katika nchi ya Kiafrika ya Mali.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 3
Feb 03, 2025 07:00Mkusanyiko wa matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, katika pembe mbali mbali za dunia….
-
Baraza la Mawaziri latangaza tena itiifu wao kwa malengo ya kiongozi mwasisi, Imam Khomeini
Feb 01, 2025 12:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na baraza lake la mawaziri mapema leo wamezuru haram ya mwasisi Jamhuri ya Kiislamu na kutangaza tena utiifu na mfungamano wao kwa thamani na malengo ya Imam Ruhullah Khomeini (Mwenyezi Mungu amrehemu).
-
Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran yamebadilisha utaratibu wa dunia: Mhadhiri mwandamizi wa Ghana
Feb 01, 2025 12:56Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Ghana Dk Munir Mustapha amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamebadilisha mfumo wa dunia na ameyataja kuwa ndiyo yenye nguvu kubwa na ambayo yamekuwa na taathira kubwa imeyozidisha ushawishi wa Iran katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ujumbe wake wa demokrasia ya kidini.