-
SAUTI, Wanachama wa Uprona nchini Burundi wamkataa mgombea wao, wasema bora wamchague mgombea wa chama tawala
Apr 20, 2020 12:03Huku ukiwa umesalia muda wa wiki moja kabla ya kuzinduliwa kampeni ya uchaguzi wa urais nchini Burundi, yameibuka malumbano ndani ya chama cha Uprona kilichowahi kuiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1962 hadi 1993.
-
SAUTI, Hadi sasa serikali ya Rwanda bado haijasajili kifo wala kuwa na mgonjwa aliyelazwa ICU kwa virusi vya Corona
Apr 20, 2020 11:55Serikali ya Rwanda imesema inatathmini uwezekano wa kulifanya suala la kuvaa barakoa kuwa la lazima kwa raia wa nchi hiyo ikiwa ni jitihada mpya za kupambana na virus hatari vya Corona.
-
SAUTI, Huku Mkoa wa Kivu Kusini DRC ukiendesha vita dhidi ya virusi vya Corona, wakumbwa na maafa makubwa yanayosababishwa na mvua kali
Apr 20, 2020 11:54Uongozi wa mkoa wa Kivu Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, umeendelea kuopoa maiti kutoka katika vifusi vya majengo na ndani ya maji ya mito ya mkoa huo, kufuatia mvua kali zilizonyesha siku ya Ijumaa na Jumamosi zilizopita.
-
Msalaba Mwekundu yaomba msaada wa kupambana na corona CAR + Sauti
Apr 15, 2020 13:25Shirika la Msalaba Mwekundu Jamhuri ya Afrika ya Kati limeyaomba mataifa ya dunia yalisaidie shirika hilo kupambana na maambukizi ya corona nchini humo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi…
-
Licha ya kupita miaka 26 ya mauaji ya kimbari Rwanda, bado athari zake zingalipo + Sauti
Apr 09, 2020 08:43Wakati Rwanda ikiendelea kuomboloza mauaji ya kimbari dhidi ya jamii ya Watutsi ya mwaka 1994, bado kuna walionusurika na mauaji ambao wanaendelea kuishi na msongo wa mawazo kutokana na athari za mauaji hayo. Sylvanus Karemera na maelezo zaidi kutoka Kigali.
-
SAUTI, Serikali ya Rwanda yaongeza zuio la siku 15 zaidi la kutotoka nje ili kukabiliana na virusi vya Corona
Apr 02, 2020 12:52Serikali ya Rwanda imeongeza siku za zuio la raia wake kutotoka majumbani kwao kwa muda wa siku 15 zaidi.
-
SAUTI, Wachina sita waliokuwa wamewekwa karantini nchini Uganda wanaswa wakijaribu kutoroka
Mar 23, 2020 12:07Watu sita wenye uraia wa China wametiwa mbano nchini Uganda, wakati wakijaribu kutoroka kutoka nchi hiyo mwakachana wa Jumuisha ya Afrika Mashariki.
-
SAUTI, International Crisis Group: Kuwazuia wapinzani kufanya mikutano CAR, ni njama za serikali za kuchakachua uchaguzi wa rais
Mar 23, 2020 11:56Shirika la Kimataifa la International Crisis Group limechapisha taarifa inayohusu hali ya kisiasa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
SAUTI, Serikali ya Rwanda yapiga marufuku safari zote za ndege kuanzie kesho Ijumaa, kuzuia maambukizi ya Corona
Mar 19, 2020 13:11Serikali ya Rwanda imepiga marufuku ya siku 30 kwa safari zote za ndege zinazoingia au kutoka nchini humo katika juhuzi za kukabiliana na virusi vya Corona.
-
SAUTI, Serikali ya Tanzania yafunga shule zote kuanzia za msingi na secondari kuzuia maambukizi ya virusi hatari vya Corona
Mar 17, 2020 13:47Serikali ya Tanzania imesema shule zote za awali, msingi na sekondari zitafungwa kwa siku 30 kuanzia leo Jumanne Machi 17, ili kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya corona (CODIV-19) ndani ya nchi hiyo.